Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #61
Huyu jamaa ni noma. bungeni alishawahi kumwambia spika kuwa wahujumu uchumi kwa ufisadi wanyongwe
kabla ya hapo alitaka kutumbukia ziwani akiwa kwenye mtumbwi anatoka kuwaona wapiga kura wake. Huyu jamaa anawaokoa sana magamba kwa mambo yake.
Hili alilolifanya ni jema sana kwa kweli.
Wewe ndiye unayefuatilia na kuona yote hayo, wengine hapa ni kuangalia upande mmoja, kwani wengine fikra zao ni kwamba hawa magamba hata angejitahidi namna gani wanaendelea kumwacha ndani ya kapu la samaki wanaonuka uozo licha ya ukweli kwamba kuoza kwa samaki mmoja si kuhalalisha tenga zima kutupwa.