minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
kwamba mwanamke afaidie penzi la mwanaume ni yule wa mwisho kati ya wale aliowapitia huyo dume? kwamba mwanaume afaidie penzi la mwanamke ni yule wa kwanza kwa vile 'njia' itakuwa itakuwa imeharibiwa? haya ni maneno kwenye 'signature' ya mkuu mmoja. guess who?