Hawa wanatuzuga tu ili tuone kuwa nao ni sehemu yetu katika mapambano haya. Kwa vile wao ndo wenye serikali, sasa kama wao wanalalamika je CHADEMA, CUF, TLP,UDP etc wafanye nini? Wao walitakiwa kwenda hatua mbili mbeleGas prices are about more than just oil - Yahoo! News
Gharama za mafuta kupanda haziwezi sababisha bei za bidhaa kupanda?
Gas prices are about more than just oil - Yahoo! News
Gharama za mafuta kupanda haziwezi sababisha bei za bidhaa kupanda?
Mojawapo ya sababu za kupanda kwa bidhaa Tanzania ni kuwa CCM huchukua pesa kutoka kwa wafanyabiashara kwa ajiri ya kampeni (ukiniuliza ushahidi sina lakini hii inatokea na kwa kiwango kikubwa kuliko unavyodhani).. Wafanyabiashara hawa baadaye hupewa hodhi ya bidhaa wanazouza na kupewa mamlaka ya kurudisha pesa zao kwa kuongeza bei za bidhaa... unategemea mfanyabiashara aliyetoa pesa yake ataweza kuigopa serikali aliyoiweka madarakani kwa pesa zake?
Thubutu!
Ninaangalia taarifa ya habari kupitia Channel Ten na naona CCM Dar wakitoa tamko la kulalamikia kupanda kwa bei ya vyakula.Hawa ni wenye serikali ambao wangeweza kuelezena ndani kwa ndani.Kunapofuka moshi,
Mmmh.
Senema inaanza, ngoja nitafute popcorn kwanza.
Mmmh.
Senema inaanza, ngoja nitafute popcorn kwanza.
Lazima ipande, bei ya mafuta inapanda kwa sababu ya conflict za Libya na oil producers wengine, umeme hakuna, productivity lazima ishuke.
Tatizo kubwa Serikali imezoea uwongo na siri mpaka wanajikanyaga wenyewe, hawataki kuadmit chochote. Utaamuru vipi bei zishuke? Hii ni nonsense, wafanye kazi yao wahakikishe umeme unapatikana.
Na Saudi Arabia nayo maandamano yakishika moto ndo tutakoma.