Nimepata habari from a very reliable source kuwa sita na mwandosya wamekubaliana sitta agombee urais akae miaka mitano amwachie mwandosya ambaye atakuwa waziri mkuu. nimedokezwa kuwa JK alipoanzisha dhana ya kujivua gamba alikuwa anataka kuwadhoofisha akina lowassa ili apate nafasi ya kumweka mtu wake. na ili kufanikisha ikabidi awatumia kina sitta kuwabomoa. ila sasa kina sitta wakawa wajanja kwa kumtumia nape wakaitumia hiyo dhana kujijenga. mkutano wa ccm mbeya jana ni mwanzo wa ushirika wa kundi la sit