ni njaa tu na uzembe wa kutafuta kula na kutaka vya dezo ndugu yangu inayowafanya watu wajipenpekeze kwa wakubwa......ila njaa hiyohiyo itakapozidi ndio italeta mageuzi...itachukua muda mrefu sana kama siyo karne, kwa watanzania kujua haki zao na kuzisimamia. Watanzania asili yetu ni watu wa kujipendekeza kwa wakubwa hata katika mambo ya kipuuzi.
Amini amini nakwambia mageuzi hayako mbali.....kwa utawala huu wa jk na njaa kali mageuzi yako njiani...ingekuwa enzi ya mwinyi usemi wako hapo juu ungekua kweli
kunahotuba mwaalimu alitoaka akasema mnapowabana na kuwanyonya wananchi...............