I don't trust you.
Hakika la leo hufanywa leo. Ukingoja kesho utaula wa chuya.
Nimejifunza.
Hehehe! NN is hear broken? Come to me, I repair broken hearts ila sina ganzi. Are you game?
I don't even trust ME! So u are right with that one sugar boy! But the offer is still on, naushona mwili wako na shazia (unaijua?)
hivi ni kitu gani kilitokea? Mi sitaki kumpa pole hadi niambiwe
Nikisoma kati ya mistari ni kama ameona kitu hakutegemea
Ila haimaanishi kua kuna maumivu ya mapenzi. Au sijaelewa?
Kongosho wangu embu nifafanulie hii thread ya NN please...
ehe? sasa ikawaje? nani kamla nani? roflhata mie sielewi, naona kama kakutana na simba kariakoo.
so many relationships......
ehe? sasa ikawaje? nani kamla nani? rofl
...and so many deceptions
ajabu... nilidhani angeomba koni...nadhani simba akalilia chips pale stend ya mwenge - kariakoo na juisi ya miwa
shindwaaaaaaa, sheikh yahya alishakufa na hakuacha mtabiri, lol!Umjamzito?
Halafu hiyo avatar...hayo macho mbona ni kama yale ya nanii....ndo wewe?
ajabu... nilidhani angeomba koni...
naona mmeingia pamoja na mzee
mnapendeza.
hehehehe, kumbe Kongosho hua unablush???sima hali chocolate, na pale kariakoo kuna ball cone zenye coat ya chocolate tu.
Ha ha ha, we mchokozi.
hehehehe, kumbe Kongosho hua unablush???
ound:Ana blashi viatu?