Michelle Hilton
Senior Member
- Jun 26, 2011
- 141
- 15
Acha maneno mengi au unadhan mi nimeajiriwa jf km ww so i shld b in kila wakatUnafikiri atarudi ndiyo umemfukuza hawana wanalolijua zaidi ya ubishi.
Acha maneno mengi au unadhan mi nimeajiriwa jf km ww so i shld b in kila wakatUnafikiri atarudi ndiyo umemfukuza hawana wanalolijua zaidi ya ubishi.
Kwahiyo mkuu haya ndio majibu ya maswali yangu niliyokuuliza?Acha maneno mengi au unadhan mi nimeajiriwa jf km ww so i shld b in kila wakat
Pombe hairuhusiwi kuuzwa kwa watu wenye umri wa chini ya miaka 18, lakini bartender anawezaje kutofautisha umri wa watu? Tafakari mwana katoliki.Sasa imekubalika kuwa wengi wa wana JF hawaipendi CCM (na haimaanishi kuwa wote in turn ni wana CHADEMA kama inavyodhaniwa). Kutokana na hili wamekuwa wakiiandama serikali ya CCM kiasi kwamba imebidi nao CCM watume watetezi. Ila wengi wa watetezi hawa wana mapungufu yafuatayo:
- ID zao zina majina ya kiajabu sana (Malaria Sugu; Faizafoxy etc)
- Hoja zao nyingi ni za mzahamzaha ili kuifanya JF ionekane ya mzaha pia
- Wengi wapo kwa kutumwa zaidi kuliko kujituma na hivyo kutoweza kuitetea serikali ya CCM ipasavyo
- Wagumu kukubali kuwa CCM imeshindwa hata katika mambo yaliyo wazi
- Ukiacha Nape na Mzee wa @NYC wengine wote waoga wa kutoa true IDs zao tofauti na viongozi wa CHADEMA ambao wengi wametoka wazi na true identities.
- Wakizidiwa hoja hufanya haya:
- kuzamia kwenye defence za kidini kwa kutumia uislam
- kuingia mitini
- kutukana na kukashifu
Let me refresh my question to you, ngoja nikupunguzie maswali nikuachie swali moja tu, maana naona unaimba mashairi ya malenga wetu.Hivi huoni yaliyofanyika ndani ya miaka hamsini au ni upofu wa akili,mfano mdogo tu angalia tumesonga kiasi gan kielimu,Hivi unaweza kufananisha miaka mitano iliyopita na sasa,kuhusu maisha bora mfano mwingine mdogo tu ni watz wangapi wamenufaika na mikopo yenye riba ndogo au mnataka watu wapewe kila kitu bure?hilo galiwezekana watu wanawezeshwa na wao wajiwezeshe sio mnataka hadi kazi mtafutiwe!na kuhusu kujivua gamba nijibu kwanza leo ni cku ya ngap alaf ntakujibu hilo?!
Jimbo la New York limepitisha sheria ya wanaume kuolewa, kwahiyo kama unatafuta bwana wahi NYC.Pombe hairuhusiwi kuuzwa kwa watu wenye umri wa chini ya miaka 18, lakini bartender anawezaje kutofautisha umri wa watu? Tafakari mwana katoliki.
basi hata wewe ni mwana ccm kwa kuwa ID yako pia ina utata, au kwa kuwa umeiandika kizungu na malaria sugu ameandika kiswahili?
Pombe hairuhusiwi kuuzwa kwa watu wenye umri wa chini ya miaka 18, lakini bartender anawezaje kutofautisha umri wa watu? Tafakari mwana katoliki.
Hivi huoni yaliyofanyika ndani ya miaka hamsini au ni upofu wa akili,mfano mdogo tu angalia tumesonga kiasi gan kielimu,Hivi unaweza kufananisha miaka mitano iliyopita na sasa,kuhusu maisha bora mfano mwingine mdogo tu ni watz wangapi wamenufaika na mikopo yenye riba ndogo au mnataka watu wapewe kila kitu bure?hilo galiwezekana watu wanawezeshwa na wao wajiwezeshe sio mnataka hadi kazi mtafutiwe!na kuhusu kujivua gamba nijibu kwanza leo ni cku ya ngap alaf ntakujibu hilo?!
Sasa imekubalika kuwa wengi wa wana JF hawaipendi CCM (na haimaanishi kuwa wote in turn ni wana CHADEMA kama inavyodhaniwa). Kutokana na hili wamekuwa wakiiandama serikali ya CCM kiasi kwamba imebidi nao CCM watume watetezi. Ila wengi wa watetezi hawa wana mapungufu yafuatayo:
- ID zao zina majina ya kiajabu sana (Malaria Sugu; Faizafoxy etc)
- Hoja zao nyingi ni za mzahamzaha ili kuifanya JF ionekane ya mzaha pia
- Wengi wapo kwa kutumwa zaidi kuliko kujituma na hivyo kutoweza kuitetea serikali ya CCM ipasavyo
- Wagumu kukubali kuwa CCM imeshindwa hata katika mambo yaliyo wazi
- Ukiacha Nape na Mzee wa @NYC wengine wote waoga wa kutoa true IDs zao tofauti na viongozi wa CHADEMA ambao wengi wametoka wazi na true identities.
- Wakizidiwa hoja hufanya haya:
- kuzamia kwenye defence za kidini kwa kutumia uislam
- kuingia mitini
- kutukana na kukashifu
Let me refresh my question to you, ngoja nikupunguzie maswali nikuachie swali moja tu, maana naona unaimba mashairi ya malenga wetu.Swali: ni kwa nini miaka 50 baada Uhuru nchi iko gizani? Tafadhali sihitaji porojo kwani hata JK kitu ambacho hajui huwa anakuwaga muungwana na huwa anasema hajui.Mfano JK aliwahi kuulizwa kwa nini Tanzania ni maskini na alijibu kiungwana kwamba hata yeye hajui. kwahiyo nakuomba na wewe uwe muungwana kama mwenyekiti wa chama chako.
Mkuu ili kuwa merited na U Great Thinker ni muhimu kufikiri kwanza kabla ya kupost.
Si vizuri kufanya general observations na kudraw conlusions, kwa sababu mfano mmoja tu unakumaliza katika conclusion yako.
Kwanza tofautisha kati ya mwana CCM na mtetezi wa CCM.
Mimi ni mwana CCM lakini si mtetezi wa yote ya CCM .
Kuna ambayo yana kera na hata CDM imefanya mengi kuyasahihisha.
Pili jina langu ni Lole Gwakisa na ni halisia si la kama lako, therefore your observation is in error na conclusion is illogical.
Kama observation yako kuwa wana CCM hapa JF ,wote ni kama MS na bibie FF, then that also reflects your nascent observatory instincts.
Kwa hilo ni kukupa pole tu.
Nchi hii lazima uelewe kuwa haiko devided between CDM na CCM .
Hizo divisions ni katika akili yako.
Observer mzuri atafuatilia mijadala na kuelewa ile logic inayotelewa na kutetewa na kila upande-na kama ina mantiki kwa maisha ya Mtanzania.
Na hii ndio multi-party democracy, and in fact, KAMA sera za CDM zitaleta manufaa kwangu, basi kura yangu wanaweza kuivuna, kitu ambacho hawajaweza so far.
Kwa suala la matusi, fuatilia kwa makini post zote na utaona mwenyewe nani mkali kwa matusi humu JF.
Hujajibu maswali, umeenda kwenye narration za CCM za miaka yote!Hivi huoni yaliyofanyika ndani ya miaka hamsini au ni upofu wa akili,mfano mdogo tu angalia tumesonga kiasi gan kielimu,Hivi unaweza kufananisha miaka mitano iliyopita na sasa,kuhusu maisha bora mfano mwingine mdogo tu ni watz wangapi wamenufaika na mikopo yenye riba ndogo au mnataka watu wapewe kila kitu bure?hilo galiwezekana watu wanawezeshwa na wao wajiwezeshe sio mnataka hadi kazi mtafutiwe!na kuhusu kujivua gamba nijibu kwanza leo ni cku ya ngap alaf ntakujibu hilo?!
Kwani CCM ni chama cha waislam?
Hao WATETEZI wa CCM ndio wanataka kutuaminisha hivyo!Kwani CCM ni chama cha waislam?
Lete evidence za matusi ya wana CCM tuone kama hii hoja ina mshiko, lii tulinganisha na matusi ya wakereketwa wa Chadema hapa JF
Kuna wana Chadema wangapi ambao ID zao wameweka wazi? Je ukiwa CCM lazima uwe kiongozi?
Kuna muungwana mmoja alisema kwamba sio wote ambao sio pro-Chadema ni wana CCM namuunga mkono kwakuwa kuna wengine wa mgombea binafsi nk