Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Al sahih ni zoea.
"Al sahih" ndio nini?
Al sahih ni zoea.
sahihi, fasaha, sadifu.
Ni lugha gani?
Kiswahili hicho. Kiswahili fasaha, sahihi au sadifu.
Neno "al sahih" ni kiswahili chenye maana "sahihi"?
al sahih ni neno la kiarabu ambalo kwalo neno sahihi limetoholewa. Kwa maana hiyo al sahih sio neno fasaha la kiswahili.
Samahani kwa kuchanganya lugha.