Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,345
- 2,017
Namba 1 na namba 4 naunga mkono hoja. Coz kama Mungu angemfutilia mbali shetani pindi tuu alipoasi, leo dunia hii ingekuwa paradise. Then huu mgogoro mashariki ya kati hv wayahudi wanaanzaje kusema nchi ni kwao wakati wao ni wakimbizi na hati miliki hawana? MFANO: ni sawa na wakimbizi kutoka Burundi waseme eti Tanzania ni yao dadadeki...!!!! must pachimbike