Makongoro Unatia Kichefuchefu!

Mkuu,,,

Kama umeangalia statistics za JF ziko hivi:



Huyu ndiye mwanachama mpya lakini kaja na nondo kweli. Tatizo anaonekana offline. We need him to clear some quiz... mwanahalisi, njoo online tafadhali!

unajua watu wengi sana wanasoma soo mtu akiona anakitu cha kuchangia ndio anajoin kuwa member, na unajua tena internet maofisini hawa mabosi wanafikiri ni anasa. sijui tutafika lini

Manahalisi njoo bwana unahitajika kulijenga taifa lililosafi
 
Duh wazee hii kali wazee kila kona ni uchafu tu! Tupo pamoja kumkoma nyani jamani! Kwa mwendo huu sijui hiyo Tz yenye neema itafika lini?
 
.... mkuu hawa watu nanataka tufike tusikokutaka na wataacha midomo wazi wakati wao ndo wanalianzisha
Hapana mkuu... Kuanadamana tu, tutaandamana lakini huko wanakotaka twende hatutafika na tutawashinda kwa mwendo huu.

United we stand!
 
Hapana mkuu... Kuanadamana tu, tutaandamana lakini huko wanakotaka twende hatutafika na tutawashinda kwa mwendo huu.

United we stand!

sipendi na sitaki kabisa vurumai, ila ninawasiwasi wanalipeleka taifa pabaya sana kwa dharau zinazotokana na shibe za wizi,

mkuu have this picture,
makongoro anapigania uongo juu ya ndege mbovu anaambiwa anaongea upuuzi, halafu inaanza kazi watu wanapoteza maisha, watanzania wananyamaza
 
duh!inatisha, hivi tanzania iliyo safi itafika siku ionekane kweli?

kinachonishangaza ni kuwa licha ya hizi changamoto za sasa, bado viongozi wamejawa na dharau na kiburi kinachotkana na vijisenti vya wizi.

kweli mbele kugumu.......lakini watu kama kina mwanahalisi tunawakubali, katoa mwanzo wana JF na tumalize.
 
Hii Kubwa Kuliko, kweli Nomaaaaaa. Mwanahalisi haya ndio tunayahitaji JF. Tanzania tunakwenda wapi? Miundo Mbinu kuna nini???????
 
Tulifikiri MAFISADI wamepungua kidogo kumbe na MAKONGORO bado wamo?

Sasa mwaka huu kuna kazi maana naona wataisha. Makongoro inabidi ajiondoe tu. Aibu gani kumbe ndio maana mashirika yamekwisha?
 
sipendi na sitaki kabisa vurumai, ila ninawasiwasi wanalipeleka taifa pabaya sana kwa dharau zinazotokana na shibe za wizi,

mkuu have this picture,
makongoro anapigania uongo juu ya ndege mbovu anaambiwa anaongea upuuzi, halafu inaanza kazi watu wanapoteza maisha, watanzania wananyamaza

Hivi kwani lazima tuwe na shirika la ndege????????????. wapeni nafasi Precision wasiokula hela ya Mtanzania watusafirishe
 



NIMEKUWA NIKIVUTANA SANA NA JAMAA ZANGU NA HATA HUYO CEO BW DAVID MATTAKA... NA KUWAAMBIA NENDENI NA WATAALAM MKAANGALIE ZILIPO UBORA WAKE... NIKAPIGIWA SIMU NA MMOJA WA MARUBANI AKIULIZA JAMAA ATATOA PERCENT NGAPI KWETU NA TUKO KUMI????

KWELI NILISHTUKA MAANA NILIHISI HATA KAMA TEN PERC WATU WATANO SI MBAYA NKWAAMBIA ATATOA MILLION 500... WAKADAI NI DOGO SANA... BAADA YA HAPO ,,, WAKAWA WANATUMA EMAIL... MWISHO NIKAWAJULISHA MWENYE NDEGE AMESEMA MWISHO SIKU FULANI KAMA IMESHINDIKANA BASI... HAWAKUWEZA KUWASILIANA MPAKA NILIPOPATA TAARIFA WAMEPATA NDEGE AIRBUS TOKA EL-SALVADOR....


PILI


Kweli Mkuu Invisible

Hapa unaweza kumkamata mtu ukamvunja shingo. Hii kweli ndio Tanzania. Hii ni kufuru inanikumbusha mzee wa vijisenti
 
Salam kwenu wakuu,

hii sasa ni balaa juu ya balaa,hii nchi inashughulikiwa kila upande huku sisi wadanganyika tukiwa watazamaji katika kiwanja cha mpira hivi lini tutasema inatosha,tutaendelea kuagonize mpaka lini,lini tutaamua kusema sasa basi na kuorganize dhidi ya wachache wanaotugeuza kuwa shamba la mjomba! Amkeni wadanganyika tupiganie haki yetu.
 


1.NDEGE HII NI MBOVU NA MPAKA SASA IMESHATUMIA BILLION ZAIDI YA 5 NA HAJAIFIKA NA WALA KUANZA KAZI....KAMA HATAKI KUKUBALI NA HILI ASUBIRI HUKOHUKO BUNGENI NDANI YA SIKU TATU....

MATUMIZI YAKE NI KAMA IFUATAVYO
TOKA MWEZI WA KUMI ATCL WAMEANZA KULIPA NDEGE AMBAYO HAIPO NA WALA HAIJAFIKA DOLLAR 420. HII NI PAMOJA NA ADHABU YA KUTOCHUKUA MAPEMA DOLLAR 420,000 * OCT, NOV, DEC, JAN, FEB, MAR na APR.

KUNA KIBARAKA MMOJA WA MEMBER WA MANAGEMENT ALIPELEKWA KULE TOKA MWEZI WA KUMI HAKUNA KAZI YOYOTE ANAYOIFANYA YEYE ANALIPWA DOLLAR 300 KWA SIKU.

DOLLAR
300 * 31 OCT 9300
300 * 30 NOV 9000
300 * 31 DEC 9300
300 * 30 JAN 9000
300 * 28 FEB 7200
300 * 31 MAR 9300
300 * 30 APR 9000

HIZI ZOTE NI DOLLAR MARA 1300 ZA KITANZANIA EWE MTANZANIA UJAJENGA ZAHANATI KUNA RUBANI MWINGINE NAYE ALIKAA HUKO MIEZI 2 ANALIPWA DOLLAR 400 *60 24,000 USD.

KUNA RUBANI MWINGINE AMBAE MPAKA HIVI SA SA YUKO HUKO HAIJULIKANI ANASUBIRI NINI NATUMAINI MATAKKA ANAJUA UCHIFU HUU YEYE ANA MWEZI SASA BAADA YA KUONA WENZAKE WANAENDA HAWARUDI AKAONA NA YEYE AKAANGALIE NDEGE IKOJE NAE ANALIPWA DOLLR 300 *30 DOL 9000

JAMANI HAPO HATUJAWATUMIA PESA ZILIZOTUMWA KWA AJILI YA MATENGENEZO YA HIYO NDEGE ANAYOKATAA HUYO MHE NA KUAMUA KUWAITA WAMBEA NA KUMBE YEYE NI MBEA NA MNAFIKI.... MHE WAZIRI NASIKIA WEWE ULIKAA NA CEO MATAKA NA BAADA YA KUMBIWA KUNA WATU WANAMCHOKONOA UKAMWAMBIA AWAFUKUZIE MBALI... MIMI SIONI SWALA NI KUWAJIBIKA AU KUBADILI MAKOSA AU KUFUKUZA WATU?


Huyo Kibaraka ameshalamba zaidi ya £600,000/= Na bado walikuwa wanahitaji 10%??? Yet, ndege ni mbovu na bado haijafika Dar??? Worse still, hawa mafisadi tunapishana nao madukani, sokoni, etc. I cant believe!!!Watu kama hawa dawa yao ni kunyongwa hadharani ili liwe fundisho kwa wenye tabia chafu kama hizi.
 
Mwanahalisi,
Nina swali dogo la kijinga. Nijuavyo mimi Airbus
hutengenezwa Ufaransa. Kitu gani kilipelekea kuamuliwa ndege inunuliwe El-Salvador? Of all places?

Hili jambo inabidi lifanziwe utafiti.

Hapa ni wazi kabisa pana mikono ya watu imesalimiana na bahasha za 10%. Haiwezekani El-Salvador nchi maskini katika South America iwe na AirBus!
 
Karibu sana Mwanahalisi,tunashukuru sana kwa huo UFUNUO,na nna uhakika JF itakufariji kwa hayo MACHUNGU yaliyokukuta,hizo HESABU(%) ulizopiga hapo juu zinauma ati!
 
..... watazamaji katika kiwanja cha mpira hivi lini tutasema inatosha.....lini tutaamua kusema sasa basi na kuorganize dhidi ya wachache wanaotugeuza kuwa shamba la mjomba! Amkeni wadanganyika tupiganie haki yetu.
Tupo macho Mkuu,JF ndo-kiwanja halisi cha mapambano na tutashinda tu!!
 
Makongoro chunga sana, mambo ya kupayuka ovyo kama walevi mnatakiwa myaache enyi wanasiasa walafi msiokuwa na haya. Baada ya muda utasikia yote haya yaliyokuwa yanasemwa ni kweli mtupu. Halafu mnaumbuka
 
Tusishangae kujs kusikia ana mrithi Chenge ana kuwa waziri kamili , halafu baada ya miezi mitatu naye ana kumbwa na kashfa anajiuzulu!Kazi ipo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom