Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Haka ka kipengele ndiko tatizo kwangu haswa! Na haya ndiyo yanayoleteleza mambo kuwa yalivyo sasa Tanzania.
Mungu inusuru nchi yetu mikononi mwa mafisadi!
linaonekana limeshakuwa ni jambo la kawaida tuu