jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Duh!Mbowe ana kifimbo siku hizi?
Duh!Mbowe ana kifimbo siku hizi?
utaumiza kichwa bure, hutapata jibu kamwe, nilishawahi kujiuliza hivyo bila majibu mwisho nimeamua kunywa konyagi tu.
Duh!Mbowe ana kifimbo siku hizi?
hiyo ni kweli asilimia miaKuhusu hii tamthiliya ya kuvuana magamba mimi naona wanasahau kuwa gamba linalotakiwa kuvuliwa ni CCM yenyewe na wala siyo mtu mmoja mmoja ndani ya CCM.
Kuhusu hii tamthiliya ya kuvuana magamba mimi naona wanasahau kuwa gamba linalotakiwa kuvuliwa ni CCM yenyewe na wala siyo mtu mmoja mmoja ndani ya CCM.
utaumiza kichwa bure, hutapata jibu kamwe, nilishawahi kujiuliza hivyo bila majibu mwisho nimeamua kunywa konyagi tu.
Mimi nauliza ni kosa au jambo gani alilofanya Lowassa ambalo CCM wengine hawakufanya??????????
Kuhusu hii tamthiliya ya kuvuana magamba mimi naona wanasahau kuwa gamba linalotakiwa kuvuliwa ni CCM yenyewe na wala siyo mtu mmoja mmoja ndani ya CCM.
Chadema wabagueni waislam, wakumbatieni wakatoliki
Ndani ya magamba hamna aliye msafi. Kama wapo nawajitenge.
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye gamba kuuuuuubwa kuliko yoote,ang'olewe kwanza.