Makongoro Nyerere Kugombea Arusha Mjini

"Makongoro?Ni muhunimuhuni tu huyo,chagueni mwingne",alsema mwalimu Nyerere.
Hakuna anayempenda MAKONGORO kuliko baba yake,mwl JK Nyerere.
Hvyo magamba wastegemee kutumia jina la mwl kujipatia nafuu!
 
Habari ambazo zimenifikia kutoka kwa mtu wa karibu na Makongoro zinasema kuwa ameamua atagombea Arusha Mjini kama atakosa Afrika Mashariki. Ni kweli jina la baba yake ni kubwa na ndio maana 1995 alishinda kirahisi Arusha. CCM wanaweza kumwona kama mtu muafaka maana alishinda mwaka 1995. Hata hivyo chadema ni maji marefu sana Arusha hawezi kushinda kwa maoni yangu

MAKONGORO HAWEZIFANYA HUO UPUMBAFU. tetesi zinamtaja NAMELOKI SOKOINE kamamgombea!
 
Habari ambazo zimenifikia kutoka kwa mtu wa karibu na Makongoro zinasema kuwa ameamua atagombea Arusha Mjini kama atakosa Afrika Mashariki. Ni kweli jina la baba yake ni kubwa na ndio maana 1995 alishinda kirahisi Arusha. CCM wanaweza kumwona kama mtu muafaka maana alishinda mwaka 1995. Hata hivyo chadema ni maji marefu sana Arusha hawezi kushinda kwa maoni yangu

Riz wani anafanyakazi gani!
 
Ccm wamefanya kosa kubwa sana kimkakati. Ukweli ni kwamba hawawezi kushinda jimbo la Arusha town bila kuiba kura na kuua watu. Wakibanwa kwenye mianya ya kuiba kura wataamua kutumia mabavu, matokeo yake wataua watu tena. Vyovyote iwavyo hapo imekula kwao.
 
Nini MAKONGORO; Hata baba yake atoke mzimuni aje agombee A Town atapigwa chini vilevile!
 
nini atamtaka huya kichaa, akiwa mbunge a-town alikonyoa baa huku akiwaambia watu waone mkojo wa mbunge wao, leo tukimrudisha si ndio atawanyea wapiga kura wake? ebu tuondolewe wenda wazimu A-town. kwanza nani kasema tunataka kusikia ccm?
 
Arusha mjini ni mali ya Chadema Magamba mnajidanganya bure ! mtapata aibu kubwa sana.
km hamjawahi kuona faulo kwenye siasa!mtaziona Arusha! ccm wamepanga kuitwaa arusha hata km wananchi watamwaga damu.Kwani umeya imekuwaje? Inasemekana Lema akisimamishwa,atawekewa pingamizi na chadema hawatakuwa na mgombea! Watafanya nini hapo?
 
hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, tukumbuke waingereza walitawala dunia karibia miaka 350 na pia uchumi ukaamia marekani tangu 1945 na sasa tunaona uchumi unahama kwenda Asia. basi hata CCM wanaelekea kufa ndio mana wanatapatapa. kwa hiyo makongoro akitaka kulindaheshima yake asigombee CCM mana kimekufa mvuto.
 
Kutoka kwenye ukoo wa nyerere hakumaanishi yakwamba nimuadirifu kama nyerere mweyewe!kuna watoto wa wachungaji na niwezi.
 
Habari ambazo zimenifikia kutoka kwa mtu wa karibu na Makongoro zinasema kuwa ameamua atagombea Arusha Mjini kama atakosa Afrika Mashariki. Ni kweli jina la baba yake ni kubwa na ndio maana 1995 alishinda kirahisi Arusha. CCM wanaweza kumwona kama mtu muafaka maana alishinda mwaka 1995. Hata hivyo chadema ni maji marefu sana Arusha hawezi kushinda kwa maoni yangu

Anayegombea Ubunge Afrika Mashariki ni Madaraka sio Makongoro.
 
Habari ambazo zimenifikia kutoka kwa mtu wa karibu na Makongoro zinasema kuwa ameamua atagombea Arusha Mjini kama atakosa Afrika Mashariki. Ni kweli jina la baba yake ni kubwa na ndio maana 1995 alishinda kirahisi Arusha. CCM wanaweza kumwona kama mtu muafaka maana alishinda mwaka 1995. Hata hivyo chadema ni maji marefu sana Arusha hawezi kushinda kwa maoni yangu
kwa Waarusha hata uwe na jina gani wanakutema ni mwiko kuchagua mtu aliyehama chama kama kiongozi atoke cha upinzani kuelekea cha mafisadi katika wakati huu wa uporaji mkubwa wa CCM unaondoa mvuto hata uwe nani huwezi shinda! Mbali ya hayo tutajieni Mbunge yeyote wa Upinzani ukiacha Wassira tangu historia ya vyama vingi aliyegombea jimboni (na si EA assembly) na akashinda!
 
ta kama wangeruhisiwa kugombea,mkapa,lowasa,felix mrema,makongoro na wengine wote hawezi kuiangusha chadema arusha
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom