jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Kwani makongoro anataka kuongoza nchi?Makongoro mwenyewe alikataliwa na Mwl. Hata alipochaguliwa kuwa Mbunge wa Arusha Mwl aliwabeza watu wa Arusha na kusema wanaongozwa na kipofu. "Hana jipya".
Hapa jali ujumbe tu mkuu,ndo la maana hapa.
Kwani waliokubaliwa na mwalimu ndo vipi?Nani? Mr Clean?