Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,289
Lowassa kainunua CCM yote.
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.
Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?
Uamuzi huo ulikuwa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na maoni shawishi ya mmoja wa Wenyeviti wa Mikoa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara, Charles Makongoro Nyerere, aliyesema watu wa kawaida walikuwa wakishangazwa na CCM kuendelea kukumbatia watu waliokuwa wakionekana wanashiriki katika ufisadi.
Akichangia wakati huo katika tathmini na mapendekezo ya Kamati Kuu ya kutaka Chenge, Lowassa na Rostam wawajibike, Makongoro Nyererealisema isingewezekana Chenge, Lowassa na Rostam kuendelea kuwa na nafasi za uongozi ndani ya chama.
Alisema wakati huo mtoa habari wetu: " Kwanza alianza kwa kumwambia Mwenyekiti kwamba japo yeye ni Mwenyekiti wa Taifa, yeye (Makongoro) naye ni Mwenyekiti wa Mara na kwamba NEC ndio waajiri wa Mwenyekiti Taifa.
" Akasema anapokaa Mwenyekiti wa Taifa ni mahala patakatifu na kwa ajili hiyo pasingeweza kusogelewa na shetani, hata kama siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabani.
" Akasema kule site (kwenye eneo la ujenzi ambako yeye ndiko anakoshinda akichanganya zege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.
"Lowassa ni ndugu yangu.Sina matatizo naye.Najua ananipenda, nami nampenda.Lakini kule site wanasema hapana.Atoke. Tena nawe Mweyekiti ulipokwenda Monduli, ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye (Lowassa), kule site wakauliza, sasa hii ndiyo nini?
"Rostam simfahamu vizuri. Ninakotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenda anakotembelea. Sina ugomvi naye.Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliyokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?
"Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenti. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site, si mimi, watu wanasema naye hapana, " alikaririwa akisema Makongoro.
SOMA ZAIDI HAPA: Raia Mwema | Lowassa apambana
Lowasa ana nguvu kiasi gani mpaka wanachama milioni 4 wa CCM wanashindwa kumtoa?
JK hawezi kumtoa Lowasa hata siku moja, kwa kutoa siri zao kidogokidogo ni kama vile Lowasa anamwambia JK angalia sana, nina mengi zaidi ya kusema. JK ameshikwa mateka na Lowasa. Lowasa hana cha kupoteza kama ataongea yote.
Labda nikuulize hivi..!Wakati mwl Nyerere akimnadi Mkapa mwaka 95 the later alikuwa na sifa gani mbaya ambazo Nyerere alizifumbia macho?Tumlaumu kwa lipi hapa!Kwa kutojua kuwa mkapa atachange on the way?Yeye ni Mungu?Angalau basi mwl Nyerere angekuwepo uchaguzi wa awamu ya pili ya mkapa ungemlaumu.Lakini alifariki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi.Hii tabia ya kumchafua baba wa taifa kuhalalisha wizi na ufisadi wa hawa mafia wa kimtandao waliowahi kukataliwa nae inanikera sana..!Mimi namheshimu sana Mwalimu Nyerere, alifanya mengi mazuri, na uzalendo wake kwa taifa letu hauna shaka.Jambo moja tu ambalo namlaumu huyu mzee ni kutuletea Fisadi kutoka Msumbiji linaloitwa Benjamin William Mkapa na kulipandikiza kuwa rais wa nji yetu.
Ni malaika hadi leo, na ataendelea kuwa hivyo milele. sema tu yeye ni malaika alolaaniwa
Labda nikuulize hivi..!Wakati mwl Nyerere akimnadi Mkapa mwaka 95 the later alikuwa na sifa gani mbaya ambazo Nyerere alizifumbia macho?Tumlaumu kwa lipi hapa!Kwa kutojua kuwa mkapa atachange on the way?Yeye ni Mungu?Angalau basi mwl Nyerere angekuwepo uchaguzi wa awamu ya pili ya mkapa ungemlaumu.Lakini alifariki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi.Hii tabia ya kumchafua baba wa taifa kuhalalisha wizi na ufisadi wa hawa mafia wa kimtandao waliowahi kukataliwa nae inanikera sana..!
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.
Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?
Labda nikuulize hivi..!Wakati mwl Nyerere akimnadi Mkapa mwaka 95 the later alikuwa na sifa gani mbaya ambazo Nyerere alizifumbia macho?Tumlaumu kwa lipi hapa!Kwa kutojua kuwa mkapa atachange on the way?Yeye ni Mungu?Angalau basi mwl Nyerere angekuwepo uchaguzi wa awamu ya pili ya mkapa ungemlaumu.Lakini alifariki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi.Hii tabia ya kumchafua baba wa taifa kuhalalisha wizi na ufisadi wa hawa mafia wa kimtandao waliowahi kukataliwa nae inanikera sana..!
Naamini Makongoro kaongea kama yeye na siyo mjumbe wa Nyerere. Si lazima kujibu post kama huna cha kuandika.
Mkuu hukunisoma vizuri, sijamchamfua Late Mwalimu, nilitangulia kusema namheshimu kwa mazuri mengi aliyofanya na uzalendo wake kwa taifa letu hauna shaka. Nimelaumu kuwa yeye ndiye aliyetuletea Fisadi Mkapa, hili halina kificho na wala simchafui kwa hilo, ni kosa alifanya na kila binadamu anakosea. Hata yeye mwenyewe kwenye hotuba yake ya Mei Mosi kule Mbeya 1995 alikiri kuwa yapo mengi tu ya "kijinga " waliyafanya katika miaka 23 aliyokaa Ikulu, lakini pia yapo mazuri,alichokuwa anashanga hawa majuha aliowaachia nchi ni kuacha yale mazuri na kukumbatia yale ya kijinga, jee kwa kukiri hivyo alikuwa anajichafua kwa tafsiri yako wewe?
[/COLOR][/B][/I]
Huyu Makongoro sijui Makhirikhiri ni uharo tu anaouongea.
Baba yake alimshika mkono Mkapa na kutuambia kuwa Mkapa ni mtu safi.
Sasa ana usafi gani kwa mali alizojilimbikizia yeye na mkewe?
ii nimeipenda maselef uko smart, hawa jamaa (ccm) wote ni uhalo kama hawajaoza ili lidubwana e low.. Yawezekana kila likiiba linawapelekea wanagawana na vitambi vinachomoza, na magamba (ccm) wote wanalijua ilo ndo hawawezi kuwa na jipya lolote mbele ya watz. Yani tuna hasira nao za kutosha, ngoja ifike 2015 najua watakuja na upupu wao waloupanga kwa kutumia masabuli yao yasooshwa, ile harufu tu lazima tuwazomee na kuwatoa mbio wallahinafikiri sasa tumeanza kupata picha halisi ya chama cha magamba. Inanikumbusha moja ya mistari katika biblia "asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu mama". Mara wote wakatawanyika