Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kudadadeki njaa mbaya sana.....
Mgombea Ubunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere (kulia) akimwinamia Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli wakati akimwomba ampigie kura iliaweze kuchukuwa nafasi hiyo kwa wagombea kutoka Tanzania Bara, Bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi