Makongoro anarudi kufundisha kule Chamazi
Wana jf hukumu ya kesi ya makongoro ni tarehe 2/ 5. Na kuna dalili za kupigwa chini. Je jk atamrudisha au atakuwa amesoma alama za nyakati hivyo hatamrudisha ili nkuepuka fedheha? Nawasilisha
Hali si nzuri na mwegemeo wake serikalini pia unayumba.mkuu mbona kama umeshafahamu matokeo ya hukumu?hii kesi inaonyesha wazi jamaa atatenguliwa?