kama jaji kapindisha haki awekwe kwenye list ya watakoshughulikwa, Lazima kushughulika na wakandamizaji ndiyo njia pekee itakayowafanya waheshim na kuifanya sheria iheshimike kwa maamuuzi sahihi.
Sio utabiri tena, mambo yako wazi huko Segerea ni vifijo kwenda mbele.
me ninavyomjua pro.ibrahim juma naamini haki ameitenda bila shaka..
"""LAZIMA MAHANGA ASHINDE KWA VYOVYOTE ,HATUWEZI KUPOTEZA JIMBO DSM HII ITAKUWA AIBU KUBWA TUNAJUA CHAMA KIMEYUMBA LAKINI CHAMA KITAANZA SAFARI YA KUFA KAMA TUTAPOTEZA JIMBO LINGINE DAR KABLA YA 2015''
ujumbe huo nimefowadiwa sasa hivi na mtu wangu wa karibu ambaye ameupata kutoka kwa MKUU WA KAYA,niko mahakamani dalili za kushindwa ni kubwa kwani Jaji anapangua hoja zetu kama maji bila kutuangalia usoni
makahama ni chombo cha haki; hukumu zingine WAFURAHIA, leo ni siku yenu ya kulia!!!