Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Mbona hufiki iko na bajaji nini
Wewe usijali kamanda mwenyewe
Wewe usijali kamanda mwenyewe
Nashukuru kwa sababu umeliona hilo. binafsi mimi sihitaji update yoyote kutoka JF kwenye kesi hii, ila nasikitishwa na Admin kwa kutozingatia ushauri wangu, siku hizi humu utadhani kuna malipo kwa mtu anayeanzisha thread!!
Kwa hoja hizi na ushahidi huo nadhani kama jaji amekwenda shule na anajua kazi yake barabara,hapa tunaanza kupiga jalamba la kuingia uwanjani kushangilia.Labda tusubiri had dakika ya 90 kujua mpira umeisha na matokeo yapo mkononi.
Hebu tupe yanayojili sasahivi hapo mahakamani, tafadhaliMsijali wakuu mm ndo kamanda wa kikosi cha mawasiliano nipostill kama chuma
Pwaaa
Akili zako zimejaa pumba tupu, mimi ni mpiga kura wa Segerea na nimeisubiri hii kesi kwa hamu kubwa na sitegemei updates yoyote kutoka JF kwa sababu hukumu tayari ninayo na nimeshaisoma, niko hapa just for fun.Kama nimekuelewa una maana magazeti yote yafungwe libaki uhuru, na tv station zifungwe ibaki tbc1, kaza msuli utampiku mwanaasha.
Kesi ya Lema ya ktk rufaa itaanza tarehe 07/5/2012Mkuu rufaa ya Lema itaanza kusikiliWa lini?
mkuu angalia kazi ya 'kupasua mayai' cyo mchezo. si ulimuona yule dada wa cuf aliyekuwa anagombea ubunge afrika mashariki?. . . kwa Updates zote. Kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili haijalishi
poa mtume reporter ila kama umesoma bandiko la mwanzisha thread kuna kuna kipande nimeki quote hapa chini ...huyo umtumaye azingatiyeNa mimi nataka nitume reporter maeneo ya mahakama
Kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili haijalishi
Hii kama ni mechi CHADEMA wanaongoza kwa Ball Possession 85 kwa 15
Mahakama kuu Dar es salaam!!... nani amekwambia kuna shida ya updates, hata Michuzi au Mjengwa ana access ya kutoa updates ontime, pendekezo langu lilikuwa na mashiko kwa mtu anayetumia ubongo kufikiri na si viungo vingine vya mwili.Labda ushauri wako hauna mashiko na kutupiliwa mbali. Aliyekwambia kuanzisha uzi unalipwa nani? Msipo pata updates mnalalama ooooh vipi huko hakuna mwanaJF yoyote? Mkiletewa bado mnaleta nyodo. Kuunganisha nyuzi ni mojawapo ya kazi ya MoDs.
Hata zikiwa mia, MoDs watafanya kazi yao na mambo yatasonga.