Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Baadae akatinga na jeans bungeni...Makongoro hana maana hata kidogo.WanaCCM Mara watakuwa vichaa kukubali kuongozwa na mhuni.Nakumbuka Mwl Nyerere mwaka 1995 alituita wapiga kura wa Arusha wahuni kwa kumchagua Makongoro mbunge wa Arusha mjini naanza kuamini Nyerere alikuwa sahihi kabisa.