naona kama vile sijaelewa!! au njaa??????
Mie ndo kabisa kanichanganya kweli halafu sijui ikoje watu wanaleta thread nusunusu hawamalizii
Jamani cku zote wanaume ni wabishi kwenye magari.Lakini juzi nimepanda gari flani konda alikuwa bonge la msichana.bac wanaume walikuwa watiifu kama wanapokea sakrament kwa padre.Whyyyyyý jamani?
Jamani cku zote wanaume ni wabishi kwenye magari.Lakini juzi nimepanda gari flani konda alikuwa bonge la msichana.bac wanaume walikuwa watiifu kama wanapokea sakrament kwa padre.Whyyyyyý jamani?
Mkuu
Mi nakupata sawasawa!
Ni sehemu nyingi inatokea hivyo kwamba huduma inayotolewa ikifanywa na jinsia ya kike usumbufu usio wa lazima unapungua kwa kiasi kikubwa sana, hasa kutoka kwa wanaume. Mara chache sana wanawake huwa wasumbufu.
Utashangaa kama kuna daladala mbili zinaenda mwenge moja ina konda mwanamke na nyingine mwanaume utajionea ile ya konda mwanamke inaanza kujaa mapema hata kama siti za kukaa zimeshajaa wakati ile ya mwanaume itakuwa inasuasua kujaa
Kweli mkuu hata wanawake nao ni watiifu sana kwa wanaume wanao toa huduma
Ila wakiwa wanawake kwa wanawake dah huwa inakuwa balaa mara huyu kabidua mdomo taabu tupu.
NI KWAMBA WANAUME HASA WANAOKUWA WAMESIMAMA HUWA WABISHI SANA WANAPOPANGWA AU KUSOGEZWA NYUMA.LAKINI YULE MDADA WALA HAKUPATA SHIDA.WALIKUWA WANAPANGIKA KAMA MAGUNIA.Sijui hapo umenisoma?Kwani mtu akipanda daladala anakuwa mkorofi bila sababu??? Kwahiyo unataka kutuambia waliambiwa walipe mia tano wakalipa badala ya mia mbili hamsini au ulikuwa unataka kusemaje???
Watiifu kivipi???
NI KWAMBA WANAUME HASA WANAOKUWA WAMESIMAMA HUWA WABISHI SANA WANAPOPANGWA AU KUSOGEZWA NYUMA.LAKINI YULE MDADA WALA HAKUPATA SHIDA.WALIKUWA WANAPANGIKA KAMA MAGUNIA.Sijui hapo umenisoma?
Jamani cku zote wanaume ni wabishi kwenye magari.Lakini juzi nimepanda gari flani konda alikuwa bonge la msichana.bac wanaume walikuwa watiifu kama wanapokea sakrament kwa padre.Whyyyyyý jamani?
Ni kwamba yule dada alikuwa anawapanga kiurahisi tu.Akisema wewe cmama pale au wewe rudi pale walikuwa wanatii jambo ambalo si la kawaida.Hapo nimekukolea?
Jamani cku zote wanaume ni wabishi kwenye magari.Lakini juzi nimepanda gari flani konda alikuwa bonge la msichana.bac wanaume walikuwa watiifu kama wanapokea sakrament kwa padre.Whyyyyyý jamani?
NI KWAMBA WANAUME HASA WANAOKUWA WAMESIMAMA HUWA WABISHI SANA WANAPOPANGWA AU KUSOGEZWA NYUMA.LAKINI YULE MDADA WALA HAKUPATA SHIDA.WALIKUWA WANAPANGIKA KAMA MAGUNIA.Sijui hapo umenisoma?
naona kama vile sijaelewa!! au njaa??????