Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaJF nipeni majibu wapendwa. Siku zote wanaume ni wabishi kwa makonda.lakini juzi nilipanda gari fulani konda alikuwa msichana.Basi wanaume walikuwa watiifu kama vile wanapokea sakramenti kwa padri.Whyyyyyyy?
sio wapole kwa makonda tu ni kwa wanawake wote. achana na kwenye daladala hata ukiwakuta bar wakiwa wameshalewa pombe zao lakini huwa wanawaheshimu barmaids vibaya mno. kwa wake zao ndiyo usiseme kabisa.