Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapande friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu JF)msg send
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapande friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu JF)msg send