Makonda na lugha usizo zitalajia

Chum Chang

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
999
272
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapande friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu JF)msg send
 
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand
Hebu punguza povu ndipo u post hapa.
 
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand


Mkuu ulikuwa na miasila nini?usijali umeeleweka
 
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand[/QUOTE

UMENIKUMBUSHA KIFIMBO-CHEZA.
 
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand

Yaelekea umekasirika kinoma mkuu, full mapovu. Tazama hizo red, hazitufai kwenye jukwaa la lugha. Na heading yako waombe mods waichakachue isomeke ZITARAJIA na ZITALAJIA. Grammar mkuu, usiwe kama konda
 
Nafurahi tunaposahihishana, lakini tuangalie makosa mengine ni "spelling" mengine "grammer" na mangine ni kwa vile tu mwandishi imebofya "key" ya jirani na ""aliyotaka kubofya. Huyu mwenye kosa la kubofya hakuna haja ya kumsahihisha hawa wengine ni muhimu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom