Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Bila ya kuwa Msanii huwezi kuishi maisha Mazuri wewe huoni ma Daktari wanavyoteseka kudai haki yao kwa Seikali lakini hawasikilizwi ona Wasanii wanavyotamba kwa kupata pesa kiurahisi tu hapo nyumbani kwetu kuwa na wewe Msanii utapata kitambi mkuu Boflo.Duh hii kali....ndio maana utaona kila mtz anataka kuwa comedian, wanapenda sana easy money...
Wanataka wapate vitambi vya heshima
Bila ya kuwa Msanii huwezi kuishi maisha Mazuri wewe huoni ma Daktari wanavyoteseka kudai haki yao kwa Seikali lakini hawasikilizwi ona Wasanii wanavyotamba kwa kupata pesa kiurahisi tu hapo nyumbani kwetu kuwa na wewe Msanii utapata kitambi mkuu Boflo.
Obama ni mwembamba na ni prezidaa wa dunia, hapo utasema usawa umebanaje..?Nimeamini hakuna binadamu mwembamba duniani. Ukiona mwembamba ujue usawa umebana tu. Teheheheheheheheheheheh
wacha watoke shavu, they worked hard, why not?Mkuu.Boflo..............
Obama ni mwembamba na ni prezidaa wa dunia, hapo utasema usawa umebanaje..?