TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,507
- 11,252
Kama una-access na TBC1 - Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru - ile Guard ya pili ni ya "Komandoos & Marine Special Forces"!
jamaa kwa kweli wanaonekana kuwa vyema kimafunzo, hivi wanavyopasua matofali kuna mbinu yeyote wanatumia ama ni ukomavu tu? Manake nimetoka kujaribu, kidogo vidole vivunjike na tofali halijapata hata ufa..