payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Makomandoo wetu bado sana! Jana niliwaona wanavyotumia visu nikawaonea huruma sana, wanavyo expose baahi ya sehemu hatari za miili yao. Pili speed yao ya ku react hairidhishi hata kidogo.
Wakipambana na mtu kama mimi ndani ya sekunde kadhaa nakuwa nimemlambisha mtu sakafu!
Washukuru Mungu raia wa nchi yetu ni watiifu na bado wanaogopa jezi za mabakamabaka wanazovaa, na sio utaalamu alionao mwanajeshi au askari.
Wakipambana na mtu kama mimi ndani ya sekunde kadhaa nakuwa nimemlambisha mtu sakafu!
Washukuru Mungu raia wa nchi yetu ni watiifu na bado wanaogopa jezi za mabakamabaka wanazovaa, na sio utaalamu alionao mwanajeshi au askari.