Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Ole wetu tunaochuuza Kariakoo!! Kumbe sisi na taratibu zetu za biashara ni kielelezo cha kukosa mpangilio na ustaraabu? Viongozi wetu wapenzi tuliowachagua ili muwe nuru yetu hebu basi tuelekezeni namna ya kutoka katika aibu hii. Vinginevyo nanyi mtakuwa mmeshindwa. Kiongozi wa mabaradhuli naye ni baradhuli. Upo hapo mama Makinda?