Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
- nadhani ameambiwa kama hata tetea swala la posho atapigiwa kura ya kutokuwa na imani nae
- Anaona aibu kwa wapiga kura wake baada ya kupigania maslai yao kaenda kupigania maslai yake na wabunge
- Anataka kumklazimisha JK kuidhinisha poshom mpya