sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
sijui madiwani waseme nini
hawa mabingwa wa kuuza viwanja vya wazi unafikiri wanataka kulikoroga.. wao wameridhika na madili wanayoyapiga kwenye ngazi zao za manispaa na halmashauri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui madiwani waseme nini
Write a comment...
[h=6]Mimi Mwanakijiji
[/h][h=6]Kama Ubunge ni "umaskini" kwanini matajiri wanafanya kazi kubwa sana kuutafuta? Ingekuwa vizuri tuwape maskini maana hao tayari "umaskini" wameshauzoea![/h]
amesema nusu ya wabunge.. CCM wana theluthi mbili ya wabunge.. so chukua idadi nzima ya wabunge wote.. toa wabunge wa CDM wote kasoro wawili.. hiyo idadi itakayobakia gawanya kwa nusu.. wanataka kuacha.. ha ha ha.. mtu mzima hatishiwi nyau eeh.
Leo hii kaja na kali nyingine!
Mh. Spika Anna Makinda amesema nusu ya wabunge wetu wanataka kuacha ubunge kutokana na ukata,
Je, hii ni kweli? na kama ni kweli,Je, wabunge wa CDM nao wamo?
Source - ITV taharifa ya habari jioni hii