HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
Anayeona hawezi kufanya kazi ya Ubunge kwa kuwa ina marupurupu kidogo si aache kwani analazimishwa? Tatizo watu walitegemea kuja kuvuna pesa na maisha bora huku kwenye Ubunge, kufika wamekuta hakunaga basi ni frustration tupu! Sijui tuamue kuufanya Ubunge kazi ya kujitolea?