Makinda na Bunge la kelele za taarifa, mwongozo.

May 21, 2011
33
11
Spika Makinda anasema kwamba, "Baada ya hotuba ya bajeti kusomwa Bungeni, Bunge haliwezi kuibadilisha kitu." Spika kwa lugha nyingine anasema, Bunge halina kazi ya kufanya, na kwa nini walipwa kukaa Dodoma kikao cha bajeti wakati hawana cha kufanya? Siamini, na ndiyo maana nimeshtuka sana na kauli hiyo ya Spika. Spika huyu tena kwa mara nyingine amejidhirisha waziwazi yeye mwenyewe, tena kwa hiari yake binafsi pasipo kulazimishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote, kwamba hajui kitui: si kitu huyu. Kanyaboya, ni spika mjima katika karne ya 21 kwa sababu hajui kazi ya Bunge. Nampa dosi murua ya Sheria, ngoja nimuelimishe.

Kwanza tujiulize je, hotuba ya bajeti nini? Hotuba ya bajeti ni maombi ya serikali (executive) kutoka kwa Bunge (parliament) kwamba serikali inaomba fedha kwa ajili ya matumizi iliyoyaainisha na, katika kufanikisha hilo, serikali hiyo2 inaomba pia Bunge liiruhusu itoze kodi na kukopa ili kupata fedha hizo (tazama Ibara za 137 na 138 za Katiba ya sasa ya Tanzania 1977).

Katika bajeti, Bunge nalo sasa lina mamlaka ya kikatiba ya (a) kurekebisha maombi hayo fedha ya serikali kwa kuyapunguza au kuongeza nk, na (b) kukataa kabisa maombi yote hayo ya serikali na kuiagiza ilete maombi mapya (tazama Ibara za 90 na 139 za Katiba).

Kwa kweli hii ni hatari kabisa, kama Spika kiongozi wa mhimili huu muhimu wa Bunge hajui mamlaka ambayo Bunge linayo dhidi ya serikali. Hatari. SIYO KWELI KWAMBA HOTUBA YA BAJETI IKISHAKUSOMWA BUNGENI, BASI, BUNGE HALINA LA KUFANYA: MAMA MAKIND, MBALI NA KUKARIRI KANUNI ZA BUNGE AMBAZO ZINATOKANA NA IBARA YA 89 YA KATIBA, SOMA KATIBA ITAKUSAIDIA KTK KAZI ZAKO...
 
Chadema mjiandae maana kuna mkakati mkubwa sana wa kuzuia hoja zenu ili serikali isiumbuliwe kama Lissu alivyowaumbua Mwanasheria mkuu na Celina Kombani.

Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba wakubwa wamedhamiria kufanya maamuzi kuwa maoni yote juu anything yatolewe wakati wa kamati za bunge. Kwa maana hiyo akishasoma mwenyekiti wa kamati ya bunge basi hakuna mtu anaruhusiwa kusema kitu tofauti especially kama ulikuwa ni mjumbe kwenye hiyo kamati. Lakini kama tujuavyo wenyeviti wengi wanatoka ccm na kazi yao kubwa wanapopewa miswaada na taarifa nyingine za serikali huwa wanaishia kuangilia comma na full-stop!

Mama Makinda yuko kwenye special mission - kurudisha fikra za zama kimoja. dangerous woman.
 
Ni dhairi Magamba wamekiri RACHEL ni Magamba; Hao hao ndio walimpandikiza Makinda, je na yeye sio gamba? Rostam alikiri kumfuata mama Iringa kumpa dili la Usupika!!!!! Tujadili Hili!!
 
Spika Makinda anasema kwamba, "Baada ya hotuba ya bajeti kusomwa Bungeni, Bunge haliwezi kuibadilisha kitu." Spika kwa lugha nyingine anasema, Bunge halina kazi ya kufanya, na kwa nini walipwa kukaa Dodoma kikao cha bajeti wakati hawana cha kufanya? Siamini, na ndiyo maana nimeshtuka sana na kauli hiyo ya Spika. Spika huyu tena kwa mara nyingine amejidhirisha waziwazi yeye mwenyewe, tena kwa hiari yake binafsi pasipo kulazimishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote, kwamba hajui kitui: si kitu huyu. Kanyaboya, ni spika mjima katika karne ya 21 kwa sababu hajui kazi ya Bunge. Nampa dosi murua ya Sheria, ngoja nimuelimishe.

Kwanza tujiulize je, hotuba ya bajeti nini? Hotuba ya bajeti ni maombi ya serikali (executive) kutoka kwa Bunge (parliament) kwamba serikali inaomba fedha kwa ajili ya matumizi iliyoyaainisha na, katika kufanikisha hilo, serikali hiyo2 inaomba pia Bunge liiruhusu itoze kodi na kukopa ili kupata fedha hizo (tazama Ibara za 137 na 138 za Katiba ya sasa ya Tanzania 1977).

Katika bajeti, Bunge nalo sasa lina mamlaka ya kikatiba ya (a) kurekebisha maombi hayo fedha ya serikali kwa kuyapunguza au kuongeza nk, na (b) kukataa kabisa maombi yote hayo ya serikali na kuiagiza ilete maombi mapya (tazama Ibara za 90 na 139 za Katiba).

Kwa kweli hii ni hatari kabisa, kama Spika kiongozi wa mhimili huu muhimu wa Bunge hajui mamlaka ambayo Bunge linayo dhidi ya serikali. Hatari. SIYO KWELI KWAMBA HOTUBA YA BAJETI IKISHAKUSOMWA BUNGENI, BASI, BUNGE HALINA LA KUFANYA: MAMA MAKIND, MBALI NA KUKARIRI KANUNI ZA BUNGE AMBAZO ZINATOKANA NA IBARA YA 89 YA KATIBA, SOMA KATIBA ITAKUSAIDIA KTK KAZI ZAKO...

Wewe sasa ndio hujui kitu, karudie tena kumsikiliza alivyosema !
 
Hv hawa watu wako humu kwa maslah ya nani,kila kitu chenye ukweli wanaropoka tu utafikir ushuzi wa maharage yaliyo chacha.Kwa nn msiangalie maslahi ya nchi kwanza na yenu mkayaweka baadaye!cjui ni watu wa karne gan hawa,yaani basi tu!niseme hawana akili kabisa!empty mind(think twice,ritz and etl)
 
ni ombwe la uongozi tz hili......naona makinda nae ni gamba linalohitaji kuvuliwa na magamba wenzake akina RACHEL
 
Spika Makinda anasema kwamba, "Baada ya hotuba ya bajeti kusomwa Bungeni, Bunge haliwezi kuibadilisha kitu." Spika kwa lugha nyingine anasema, Bunge halina kazi ya kufanya, na kwa nini walipwa kukaa Dodoma kikao cha bajeti wakati hawana cha kufanya? Siamini, na ndiyo maana nimeshtuka sana na kauli hiyo ya Spika. Spika huyu tena kwa mara nyingine amejidhirisha waziwazi yeye mwenyewe, tena kwa hiari yake binafsi pasipo kulazimishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote, kwamba hajui kitui: si kitu huyu. Kanyaboya, ni spika mjima katika karne ya 21 kwa sababu hajui kazi ya Bunge. Nampa dosi murua ya Sheria, ngoja nimuelimishe.

Kwanza tujiulize je, hotuba ya bajeti nini? Hotuba ya bajeti ni maombi ya serikali (executive) kutoka kwa Bunge (parliament) kwamba serikali inaomba fedha kwa ajili ya matumizi iliyoyaainisha na, katika kufanikisha hilo, serikali hiyo2 inaomba pia Bunge liiruhusu itoze kodi na kukopa ili kupata fedha hizo (tazama Ibara za 137 na 138 za Katiba ya sasa ya Tanzania 1977).

Katika bajeti, Bunge nalo sasa lina mamlaka ya kikatiba ya (a) kurekebisha maombi hayo fedha ya serikali kwa kuyapunguza au kuongeza nk, na (b) kukataa kabisa maombi yote hayo ya serikali na kuiagiza ilete maombi mapya (tazama Ibara za 90 na 139 za Katiba).

Kwa kweli hii ni hatari kabisa, kama Spika kiongozi wa mhimili huu muhimu wa Bunge hajui mamlaka ambayo Bunge linayo dhidi ya serikali. Hatari. SIYO KWELI KWAMBA HOTUBA YA BAJETI IKISHAKUSOMWA BUNGENI, BASI, BUNGE HALINA LA KUFANYA: MAMA MAKIND, MBALI NA KUKARIRI KANUNI ZA BUNGE AMBAZO ZINATOKANA NA IBARA YA 89 YA KATIBA, SOMA KATIBA ITAKUSAIDIA KTK KAZI ZAKO...

Nadhani una chuki binafsi na huyu mama! mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni. Kwa hili sikuungi mkono maana umepotosha Wanajamii, hakusema hayo uliyoyapamba kwa lugha nzuri. Alieleza utaratibu mzima na mchakato wa bajeti na hakusema kuwa baada ya bajeti kusomwa Bunge haliwezi kubadilisha kitu. Kwani Bunge lina uwezo wa kupitisha au kutopitisha bajeti ya serikali iwapo ina tatizo. Bunge huishauri serikali na maoni yake mara zote tumeona hufanyiwa kazi na Serikali. kama yeye hataki unadhani wabunge wote watakubali kukaa kimya na kutobadilisha popote hata kama kuna utumbo?
 
Nakushkuru kwa kukubaliana na mimi kwamba Bunge lina uwezo na mamlaka ya kikatiba ya kurekebisha bajeti ya serikali ikiwa ni pamoja na kuikataa yote, au siyo? Mimi sina nongwa na MAKINDA, MTANZANIA MWENZANGU
Nadhani una chuki binafsi na huyu mama! mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni. Kwa hili sikuungi mkono maana umepotosha Wanajamii, hakusema hayo uliyoyapamba kwa lugha nzuri. Alieleza utaratibu mzima na mchakato wa bajeti na hakusema kuwa baada ya bajeti kusomwa Bunge haliwezi kubadilisha kitu. Kwani Bunge lina uwezo wa kupitisha au kutopitisha bajeti ya serikali iwapo ina tatizo. Bunge huishauri serikali na maoni yake mara zote tumeona hufanyiwa kazi na Serikali. kama yeye hataki unadhani wabunge wote watakubali kukaa kimya na kutobadilisha popote hata kama kuna utumbo?
 
Kiukweli hata mimi niliogopa baada ya kusikia maneno yale. Kwa maana nyingine anaongoza bunge huku akiwa hajui kazi ya Bunge. Duh ni sawa na gari bila dereva lazima lipate ajali.
 
Ndugu zangu Thinktwice na Wanitakiani,, advocate newbol katika thread yake kasema haya ndo yaliyotamkwa na Spika mama Anna makinda. nyinyi mnasema hakusema hivo, Je alisemaje? mnaweza kuandika hapa aliyosema ili tuwianishe na hivo kujipa uwanja wa kuchangia vizuri? Tafadhali
 
Fikiri kidogo hali itakuwaje bungeni pale mbowe atakapoanza kubomoka mipango ya wapinzani. Hapo lisu akijiandaa kumwambia makinda kwa mjibu wa kanuni za bunge, kifungu namba....kinga ya kutodhalilishwa mbunge... Hapo kabwe hajasimulia alichokiona kariakoo. Ebu fikiria Godbless lema atakapoomba mwongozo wa spika... Makinda hataomba feni iwekwe chini ya kiti ipoze moto? Au mnadhani itakuwaje? Mziki huu ataucheza kweli?!
 
Huu mziki usipime mimi nahisi huyu mama anaweza kuomba ajiuzuru uspika.
Ila c unafahamu udictator wake? Kwake hamna kinacho shindikana na ukizingatiwa amewekwa pale na wakuu wa magamba
 
only kama amepitia unyago:becky: !! muziki wa chadema mkubwa bwana!!
hahahahahaa! ukipitia unyago lazima upate mume!!! mumewe ni nani?
this means hajapitia unyago! hawajui wala hajui jinsi ya ku-deal na wanaume kama friends, na kama mume, hajui hata maneno ya kuongea mbele ya mwanaume mwenye hasira mpaka mwanaume huyo ajinyamazie kwa kuona kijike kimesema jambo la maana.
 
Back
Top Bottom