GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
dah kweli Mungu anajibu maombi. Nilishamshauri mke wangu Anna akabadili jina mahakamani; ilikuwa inaniuma kweli kuona mke wangu mwenye mvuto anafanana jina na huyu mama mwenye sura kama kinyago cha mpapure.
muogope Mungu wako. mama makinda hakujiumba ujue.
daimaa kumbuka hujafa hujaumbika. ni anagalizo tu