Makinda awashukia viti maalumu

pendekezo mbunge wa vuti maalumu alipwe mshahara mdogo kuliko mbunge wa jimbo, mbunge wa vitu málumu asiteuliwe kuwa waziri na ubunge wa viti maalumu mwisho miaka mitano
 
Mfumo huu wa viti maalum inabidi utazamwe upya....wanaofikiri wamedhalilishwa ni wavivu wa kufikiri
Dunia inahitaji watu shupavu sana.....sio DHAIFU
 
pendekezo mbunge wa vuti maalumu alipwe mshahara mdogo kuliko mbunge wa jimbo, mbunge wa vitu málumu asiteuliwe kuwa waziri na ubunge wa viti maalumu mwisho miaka mitano
 
Wabunge wa viti maalum wa nini? Wabunge wa majimbo wanawawakilisha wananchi wote walioko jimboni wakiwemo wanawake, walemavu, n.k. Viti maalum ni anasa, gharama isiyokuwa ya lazima. Wengi wa wabunge hawa huhudhuria tu, hawashiriki ktk vikao vya bunge. Mbele ya safari tupiganie kuipunguza idadi ya wabunge, tunaumizwa wananchi wa kawaida.
 
Katiba mpya ifute viti hivyo, ni mzigo kwa taifa na hawana kazi zaidi ya kushangilia na kuzomea.
 
Back
Top Bottom