huyu dogo ina maana haelewi umuhimu wa vote of no confidence ili kuweza kuketa hoja binafsi? Anadai anaona bunge linakuwa na uchama zaidi badala ya kuwa wamoja katika kuikosoa serikali. Huyu dogo ametumwa na wazee wa ccm au? Tutegemee nini majibu ya spika kwa hili?
siasa = si hasa