Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
du mwanamke gani huwa analia akiwa serious asifute macho kwa kanga au kitambaa. yaani huyu ni mwanamke gani asiye na machozi? vidole viwili tu vinayakausha!!!
Hata mtot wa mkulima nae alilimwanga mjengoni..mbele ya kadamnasi...!! sijui ni uchungu wa kweli au ndo zao..:A S 13:Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo La Mboto. Makinda ametembelea kambi ya waathirika, Mzambarauni jijini humo.(Picha na Fadhili Akida).
Hata mtot wa mkulima nae alilimwanga mjengoni..mbele ya kadamnasi...!! sijui ni uchungu wa kweli au ndo zao..:A S 13:
Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo La Mboto. Makinda ametembelea kambi ya waathirika, Mzambarauni jijini humo.(Picha na Fadhili Akida).
serikali ya kinafki,utaijua tuu analia nn wakati hata yeye bungeni keshaanza kubadili sheria ili kulinda wachache?
haya yote yana mwisho ka tunayoyaona misri,tunisia....................................:decision:
Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo La Mboto. Makinda ametembelea kambi ya waathirika, Mzambarauni jijini humo.(Picha na Fadhili Akida).
Hamna cha kilio hapo...usanii tu..tatizo la hawa viongozi wetu wanajiona wamehitimu Chuo Cha Sanaa Bagamoyo...wewe acha tu muda utakapofika watatoa machozi ya kweli...!!!