Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
kwa kasi ya bunge la sasa nina imani huyu mama gwaride litamshinda
ccm walitafuta kanyagio ambalo halitawasumbua baadae........
kwa kasi ya bunge la sasa nina imani huyu mama gwaride litamshinda
ama kweeli ndo mana ukaitwa think twiceYule mama ndio kiboko ya watu kama wakina Lissu, well done !
Huu sio wakati wa uchamchama, ni wakati wa utaifa. anawaangusha wanawake wa Tanzania. I though she is going to be tha mother of the nation but aaaa.
Kila nikimsikia huyo spika wa makamba na nikikumbuka maneno ya katibu wake,huwa natamani hata kubadili jinsia .ni sawa na kumpeleka bongolala china akawakilishe nchi kwenye uhandisi.unadhan wahandisi watakubali?yaan huyu spika ananichefua zaid ya kaka yake lukuvi.hili bunge lazima litamshinda,hafananii na haliwezi.labda amuongoze pro maji marefu na mama rwakatale,ila kwa Tundu Lisu,Mnyika na Regia kamwe hataweza mpaka arudi darasani kuanza upya sekondari
Bunge linaongozwa na sheri na kanuni za Bunge. Hawa wabunge wapya inapaswa walijuwe hilo na wasikurupuke kama wanavyokurupuka wachangiaji wa JF.