Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Kuna tetesi kuwa hoja binafsi ya Katiba iliyowasilishwa na Mh. Mnyika na ile ya Dowans ya Mh. Kafulila hazitajadiliwa katika kikao kijacho cha bunge kwa kisingizio cha kutoundwa kamati ya uongozi ya bunge yenye jukumu la kupitia hoja za serkali na wabunge binafsi na kuzitolea uamuzi..
Dalili hizo zimejitokeza baada pia ya spika mwanamama Makinda kusema ofisi yske haijapokea hoja binafsi ila imepokea taarifa tu za makusudio ya kuripoti hoja.
Binafsi nanusa harufu ya kutimia malengo ya waliomuweka hapo na ucheleweshaji wa makusudi ili maamuzi ya kibabe yapitishwe kwanza
Source: Nipashe Jumanne 18 January 2011
Dalili hizo zimejitokeza baada pia ya spika mwanamama Makinda kusema ofisi yske haijapokea hoja binafsi ila imepokea taarifa tu za makusudio ya kuripoti hoja.
Binafsi nanusa harufu ya kutimia malengo ya waliomuweka hapo na ucheleweshaji wa makusudi ili maamuzi ya kibabe yapitishwe kwanza
Source: Nipashe Jumanne 18 January 2011