Pamoja na matatizo ya kisiasa Uganda,kutoka Obote,Idd Amin, Binaisa hadi Museveni,kitu kimoja ambacho Makerere Uni wanacho ni kutoingiliwa kisiasa na any government.Kimebaki chuo pekee ambacho elimiu ni elimu.Kutana na graduate wa law,medicine toka Makerere utaniambia vizuri.
Suala la kumkataa Prof Baregu wa UDSM ni cha kushangaza sana.Ina maana only YES men hapo UDSM ,ambao wako tayari kukubali kila kitu cha govt ndio watabaki.
Elimu yetu inadidimia kwa namna hiyo maana mediocre tu tunawakubali so long hawawezi kuikosea serikali hata ufisadi wa namna gani.Ndio maana tunawahusudu
watu wenye Phd feki toka vyuo vya kihuni.
Suala la kumkataa Prof Baregu wa UDSM ni cha kushangaza sana.Ina maana only YES men hapo UDSM ,ambao wako tayari kukubali kila kitu cha govt ndio watabaki.
Elimu yetu inadidimia kwa namna hiyo maana mediocre tu tunawakubali so long hawawezi kuikosea serikali hata ufisadi wa namna gani.Ndio maana tunawahusudu
watu wenye Phd feki toka vyuo vya kihuni.