BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Hehehe, babaake, kuna wanaume wengine wana-discourage vitu shauri ya wivu tu. Kuna wanaume wako over-possessive hataki mwanamke wake avae sarawili, kimino, makeup etc. Muhimu ni mwanamke kufanya vitu for herself. Kama mtu yuko comfortable ajifantie tu. Tatizo letu waswahili vipodozi feki, foundation tsh 3000 na angel face sh 500! Mtu akipaka sura kama anachungulia! Mi nikikutana na mdada nikishamuangalia uso tu lazma nimuangalie miguuni. Inasikitishaga jamani! Urembo uandamane na pedicure na manicure ili kuleta balance!
...Halafu wakiona Wanawake wengine waliofanya hayo macho juu juu huku mfadhaiko ukikaribia kuwafadhaisha!!!