Make up 8 wanawake zinazowachefua wanaume

Hehehe, babaake, kuna wanaume wengine wana-discourage vitu shauri ya wivu tu. Kuna wanaume wako over-possessive hataki mwanamke wake avae sarawili, kimino, makeup etc. Muhimu ni mwanamke kufanya vitu for herself. Kama mtu yuko comfortable ajifantie tu. Tatizo letu waswahili vipodozi feki, foundation tsh 3000 na angel face sh 500! Mtu akipaka sura kama anachungulia! Mi nikikutana na mdada nikishamuangalia uso tu lazma nimuangalie miguuni. Inasikitishaga jamani! Urembo uandamane na pedicure na manicure ili kuleta balance!

...Halafu wakiona Wanawake wengine waliofanya hayo macho juu juu huku mfadhaiko ukikaribia kuwafadhaisha!!!
 
...Halafu wakiona Wanawake wengine waliofanya hayo macho juu juu huku mfadhaiko ukikaribia kuwafadhaisha!!!

Mapambizo ni mazuri tu kama yakifanywa kwa kiasi, maana mapambo yakizidi ni uchafu. Sawa na mnywaji anapomaliza creta nzima ni uchafu tofauti na mwenye kupiga moja mbili kwa kuzima kiu. Mvuta Sigara ni ugonjwa kumalia pacti moja kwa siku toafaauti na anayetumbua pingili moja au mbili kwa siku. Hat kama si mvuta sigara au mnywaji nitakuwa radhi kushirikaina kwa karibu na mwenye kiasi maana ni hali isiyochefua, lakini kupitiliza zaidi ni uchafuzi wa maungo mazuri aliyotutengenezea Muumba wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom