Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Makazi ya Polisi Rombo Mkuu, Mkoa wa Kilimanjaro eneo linaloitangaza Tanzania kwa walimwengu kutokana na utalii.
Inasikitisha kuona Askari polisi walivyodharaulika na kutopewa umuhimu na serikali kwa kuwaandalia makazi yenye hadhi kiafya. Mbona majeshi miengine kama jeshi la wananchi na la Kujenga taifa wana nyumba nzuri zinazolingana na hadhi yao, iweje serikali iwatelekeze jeshi la polisi ambalo muda mwingi wako busy na majukumu mazito ya kulinda raia wa nchi hii na mali zao licha ya kuwa watetezi wakubwa wa watawala? Hawa ni chombo cha kutumiwa tu bila kuangalia maslahi yao na mazingira wanayoishi.
Nyumba za askari polisi Rombo Mkuu kwa nyuma.
Picha kwa hisani ya Mjengwa Blg
Inasikitisha kuona Askari polisi walivyodharaulika na kutopewa umuhimu na serikali kwa kuwaandalia makazi yenye hadhi kiafya. Mbona majeshi miengine kama jeshi la wananchi na la Kujenga taifa wana nyumba nzuri zinazolingana na hadhi yao, iweje serikali iwatelekeze jeshi la polisi ambalo muda mwingi wako busy na majukumu mazito ya kulinda raia wa nchi hii na mali zao licha ya kuwa watetezi wakubwa wa watawala? Hawa ni chombo cha kutumiwa tu bila kuangalia maslahi yao na mazingira wanayoishi.
Askari polisi Rombo mkuu akitoka kwenye nyumba yake.
Nyumba za askari polisi Rombo Mkuu kwa nyuma.
Picha kwa hisani ya Mjengwa Blg