PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Leo nimemkuta huyu Ndugu akiwa amestarehe chini ya daraja la Mkapa, ambapo anadai ni makazi yake, na nilipoangazaangaza niliona blanketi kwa pembeni.
Alikuwa hana wasiwasi, huku akipata chakula cha mchana, ugali+samaki aliowavua hapohapo kwenye mto Rufiji.
Je wadau, kuna usalama kwa mwenzetu huyu anayelala hapo,ukizingatia mto Rufiji una mamba kibao?
Na je hakuna madhara kwa maisha ya daraja kwa kitendo cha kuzuka kwa makazi na shughuli za binadamu chini yake?
Alikuwa hana wasiwasi, huku akipata chakula cha mchana, ugali+samaki aliowavua hapohapo kwenye mto Rufiji.
Je wadau, kuna usalama kwa mwenzetu huyu anayelala hapo,ukizingatia mto Rufiji una mamba kibao?
Na je hakuna madhara kwa maisha ya daraja kwa kitendo cha kuzuka kwa makazi na shughuli za binadamu chini yake?