kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,867
- 2,746
Watanzania wenzangu, kuondoka kwa mawaziri hakuta imarisha wizara na taasisi zake kama makatibu wakuu wataendelea kuwapo. Sawa tunajua baadhi ni marafiki sana na raisi lakini kuaribiana kazi urafiki ukae pembeni. Mheshimiwa raisi tunaomba umuondoe omari chambo katibu mkuu wa uchukuzi kwasababu yeye ndio chanzo cha matatizo yote ya wizara.