Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Leo ni siku ya pili makarani wa sensa wilaya ya uyui katika mkoa wa tabora wanakaa toka asubuh mpaka saa 12 jion na kurud kwenye magest waliyofikia bila kuwa na chochote.Bila kujali uwepo wa sikuku ya Eid mpaka sasa sa kumi na moja na Nusu tunamsubilia mgeni aje AFUNGE MAFUNZO Hali ya kuwa Hatuna Pesa...KUMBUKA Semina imefanyika mjini Sehemu ambayo ni mbali na makazi ya wanasemina...CHANZO MIMI MWENYEWE MWALIMU WA SHULE YA MSINGI