Takribani juma la tatu sasa kumekuwa na kukatika katika kwa umeme maeneo mbalimbali hapa Dodoma pasipo taarifa yoyote rasmi kutoka TANESCO. Suala hili linaleta usumbufu mkubwa sana katika shughuri zetu za kiofisi na nyumbani na hivyo natumia kanafasi haka kuelezea masikitiko yangu kwa TANESCO, kwani mnatunyanyasa!!!