Makao makuu ya CHADEMA yapo wapi?

Ndio maana kuna Internet na Mawasiliano mengine, Mimi ni Mtanzania but nipo nje ya nchi. By the way Makao Makuu sio idara ya siri kwamba eti mtu hatakiwi kujua, kama yupo mdau anayefahamu anielekeze tafadhari, mimi kama Mtanzania I deserve to know the H.Q of the Leading Opposition Party.

Itakusaidia nini ukiyajuwa wakati wewe uko abroad, njoo nchini ndo uulizie, ukifika tutakuangalia usoni tukiridhika ndo tutakupeleka, tukikutilia shaka tunakupeleka kwa Tossi-maana unaweza kuwa umetumwa na Al-Shabab!
 
mtaa wa Ufipa, Kinondoni, nyuma ya American Chips, interior fulani mtaa wenyewe ni earth road, full of potholes, dust and mud.

ni kijumba cha NHC za zamani za uswazi sema kimefanyiwa modification kidogo, wageni wanaingilia reception pembeni ya nyumba kwenye ki dark alley fulani kama unaenda men's room vile ila wame pa soup up kidogo, huyo receptionist ni half-innumerate mmoja kashikilia ma kaunta book ya kuandikisha wanachama/wageni, hana cha computer wala cha simu, ukisema "naomba kuwa member" anakurudisha ukalete picha mbili, you know, Benki ya Maendeleo Vijijini style, hawana hata ka digital camera ka dola 50 ka kukupiga picha hapo hapo wakuwahi, halafu nje kuna vigilantes fulani wamekaa across the street na makapelo ya CHADEMA wana monitor moves around the way looking like them hood crews Nyerere used to arrest for Uzembe na Uzururaji...

i was like this some broke arse party here, but wait a minute, they rent helicopters in they campaign trails, and they just got a $ 200,000 handout from that Indian tycoon from CCM, come outta that cave hideouts for your headquarters you clowning politricksians

gotta love CHADEMA tho
 
mtaa wa Ufipa, Kinondoni, nyuma ya American Chips, interior fulani mtaa wenyewe ni earth road, full of potholes, dust and mud.

ni kijumba cha NHC za zamani za uswazi sema kimefanyiwa modification kidogo, wageni wanaingilia reception pembeni ya nyumba kwenye ki dark alley fulani kama unaenda men's room vile ila wame pa soup up kidogo, huyo receptionist ni half-innumerate mmoja kashikilia ma kaunta book ya kuandikisha wanachama/wageni, hana cha computer wala cha simu, ukisema "naomba kuwa member" anakurudisha ukalete picha mbili, you know, Benki ya Maendeleo Vijijini style, hawana hata ka digital camera ka dola 50 ka kukupiga picha hapo hapo wakuwahi, halafu nje kuna vigilantes fulani wamekaa across the street na makapelo ya CHADEMA wana monitor moves around the way looking like them hood crews Nyerere used to arrest for Uzembe na Uzururaji...

i was like this some broke arse party here, but wait a minute, they rent helicopters in they campaign trails, and they just got a $ 200,000 handout from that Indian tycoon from CCM, come outta that cave hideouts for your headquarters you clowning politricksians

gotta love CHADEMA tho

Teh teh teh!!!!!

Sasa si bora makao makuu wangeyahamisha pale Billicanas Club?
 
mtaa wa Ufipa, Kinondoni, nyuma ya American Chips, interior fulani mtaa wenyewe ni earth road, full of potholes, dust and mud.

ni kijumba cha NHC za zamani za uswazi sema kimefanyiwa modification kidogo, wageni wanaingilia reception pembeni ya nyumba kwenye ki dark alley fulani kama unaenda men's room vile ila wame pa soup up kidogo, huyo receptionist ni half-innumerate mmoja kashikilia ma kaunta book ya kuandikisha wanachama/wageni, hana cha computer wala cha simu, ukisema "naomba kuwa member" anakurudisha ukalete picha mbili, you know, Benki ya Maendeleo Vijijini style, hawana hata ka digital camera ka dola 50 ka kukupiga picha hapo hapo wakuwahi, halafu nje kuna vigilantes fulani wamekaa across the street na makapelo ya CHADEMA wana monitor moves around the way looking like them hood crews Nyerere used to arrest for Uzembe na Uzururaji...

i was like this some broke arse party here, but wait a minute, they rent helicopters in they campaign trails, and they just got a $ 200,000 handout from that Indian tycoon from CCM, come outta that cave hideouts for your headquarters you clowning politricksians

gotta love CHADEMA tho

Hata Yesu alizaliwa kwenye Zizi la Ng'ombe...
 
Na akaishi humo miaka mingapi?

Unamaanisha Chadema bado watoto wachanga, ndio kwanza wamezaliwa.

Kama wanashindwa kuwa na office decent tangu mwaka 1992, inaimply nini?
Kweli wabongo tunapenda mambo mepesi mepesi...katika matatizo yooote yanayolikabili Taifa hili...tunaona la CHADEMA kuwa na makao makuu yao kinondoni na kwamba ni nyumba ya NHC ni tatizo...? kweli Safari kuelekea ukombozi wa fikra bado ni ndefu..!
 
mtaa wa Ufipa, Kinondoni, nyuma ya American Chips, interior fulani mtaa wenyewe ni earth road, full of potholes, dust and mud.

ni kijumba cha NHC za zamani za uswazi sema kimefanyiwa modification kidogo, wageni wanaingilia reception pembeni ya nyumba kwenye ki dark alley fulani kama unaenda men's room vile ila wame pa soup up kidogo, huyo receptionist ni half-innumerate mmoja kashikilia ma kaunta book ya kuandikisha wanachama/wageni, hana cha computer wala cha simu, ukisema "naomba kuwa member" anakurudisha ukalete picha mbili, you know, Benki ya Maendeleo Vijijini style, hawana hata ka digital camera ka dola 50 ka kukupiga picha hapo hapo wakuwahi, halafu nje kuna vigilantes fulani wamekaa across the street na makapelo ya CHADEMA wana monitor moves around the way looking like them hood crews Nyerere used to arrest for Uzembe na Uzururaji...

i was like this some broke arse party here, but wait a minute, they rent helicopters in they campaign trails, and they just got a $ 200,000 handout from that Indian tycoon from CCM, come outta that cave hideouts for your headquarters you clowning politricksians

gotta love CHADEMA tho

Taso ulipokuwa kwenye crot** za mzazi (Mme) wazazi wetu walikatwa kwa lazima hayo Majengo,viwanja vya mipira Kirumba,Arusha,Kambarage,Sokoine,Majimaji,Ilulu etc... Ule uwanja uliokuwa makao makuu ya vijana mmempa Subash Patel,UWT-CDM pale ZAIN aka AIRTEL mmempatia Manji... Na kadhalika NANI CLOWNS!!!
 
Kweli wabongo tunapenda mambo mepesi mepesi...katika matatizo yooote yanayolikabili Taifa hili...tunaona la CHADEMA kuwa na makao makuu yao kinondoni na kwamba ni nyumba ya NHC ni tatizo...? kweli Safari kuelekea ukombozi wa fikra bado ni ndefu..!

Tatizo si office kuwa nyumba ya NHC, bali mazingira mazima ya ilipo office ya CHADEMA na hali halisi kama alivyodecribe ndugu Taso. Okay, labda kumuamini Taso ni kupenda mambo mepesi, sitakiwi kuamini amini. Nitazitembelea office hizo kesho.
 
Chadema wanangoja washinde Urais ili watumie state budget kujenga office. Hawana uwezo wa kumobilise wanachama wachingie ofisi. Wanachama huchangia kampeni tu, kwa sababu "maalum", ndio maana helicopter inaweza kukodiwa.
 
Ofisi za CCM zote zimejengwa kwa kodi zetu chini ya mfumo wa chama kimoja cha siasa so ajenda ya ofisi hatuihitaji wa sasa ingawa pia masha kaishia na samani za ofisi (x WAZIRI WA USALAMA WA RAIA
 
Ofisi za CCM zote zimejengwa kwa kodi zetu chini ya mfumo wa chama kimoja cha siasa so ajenda ya ofisi hatuihitaji wa sasa ingawa pia masha kaishia na samani za ofisi (x WAZIRI WA USALAMA WA RAIA

Ni kweli kabisa Makondo wacha ofisi za chama ofisi za serikari za mitaa je?hiyo ndio serikali inashindwa kujenga ofisi ya watumishi wake miaka 50 sasa sembuse chama cha siasa chenye umri wa chini ya miaka 30
 
Yapo KINONDONI mtaa wa UFIPA.Ukitokea makaburi ya Kinondoni (yale ya middle society) na ukishapita kinondoni Muslim Sec.School utakuta makaburi mengine on your right.Pita njia ya kwanza inayoingia kulia na utakapokuta barabara ya pili ingia kulia na utakutana na mahandaki kwa kama mita mia tano na kulia kwako utayaona majengo ya Chadema.
Niliishi mtaa ule early seventies na ulikuwa na lami na taa za barabarani wakati huo nasoma Lumumba shule ya msingi,Mnazi mmoja.
 
Jamani mbona hili ni jukwaa la heshima sana kwa wazalendo haya kukandiana yanatoka wapi? Mtu ameuliza makao makuu ya chama huwezi jua ana shida gani! Halafu suala ya kwamba yamekaaje siyo kitu cha kusimangana hata mbuyu ulianza kama mchicha. Naamini kabisa huku ndani ya jukwaa kuna wasomi na wachambuzi wa mambo na watu wa vyama mbalimbali tuelimishane kwa hoja za msingi na syo matusi na kukashiana tutapoteza mwelekeo wa jukwaa hili

back 2 topic wanachama wanataka kujua makao makuu ya chama chao hata kama ni jikoni au mkobani wananchi wamewapenda na wameridhika na mwenendo wao na sio kujenga magorofa wakati kuna mambo magumu ya kushughulikia nchi hii WATU WANA IMANI NA CHADEMA NA SIYO MAJENGO NA SAMANI ZA OFISI.

Mtu anayejua atoe malekezo na anuani tafadhali kwa faida ya wananchi na siyo mamluki na wana usalama feki wao jipendekeza ccm kila kukicha.
 
suala hapa ni sera na sio ubora wa majengo!

CCM waliojenga ofisi zao kwa gharama za kuua ushirika na mashirika ya serekali ole wao!

tofauti na CCM wanasiasa wa chm wengi wao ni proffessionals, na wana shughuli zao za kuwaingizia kipato. hivyo basi tubna imani kubwa na aina hii ya wanasiasa ambao hawategemei siasa kufanya maisha!
 
Jitahidini kuwa reasonable wana JF..! ya cost nini kumtajia ndugu yatu makao ya CHADEMA-People's power, acheni kupiga zengwe pasi sababu...

Makao makuu ya Chadema yapo Kinondoni B., Kama unatokea Ubungo, ukifika pale kinondoni B kituo cha daladala mbele yake mkono wa kulia kuna barabara ifuate hiyo after 200 metres ulizia utaoneshwa ofisi..
 
Una haki ya kujua kila unachotakiwa kujua. Makao makuu ya chadema yako kinondoni,mtaa wa Ufipa. Au fika kituo cha manyanya kinondoni alaf shuka na barabara ya kuelekea posta na kabla ya kufika makaburini mtaa huo wa mwisho pinda kushoto uingie barabara ya vumbi ndo unaanza mtaa wa ufipa. Kumbuka chadema ni chama cha demokrasia. Siku njema.
 
Along KINONDONI Road kuna kibao kinaelekeza makao makuu yachadema, ukitokea manyanya upande wa kushoto.
 
Wadau naomba mnifahamishe yalipo makao makuu ya Taifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mkuu si kosa kuuliza yaliko Makao Makuu ya Chama cha Ukombozi dhidi ya dhuluma na ufisadi - CHADEMA. Kipo Kinondoni ila mtaa siufahamu jina. Unaweza fika kuulizia kwa mtu yeyote eneo la jengo la Hugo au maduka/ mikahawa ya jirani watakuelekeza tu. Hata mimi nilifikakwakuelekezwa hivyo.
 
Back
Top Bottom