CCM wanawaonea wapinzani sana, utasema NCHI hìi ni ya kwao peke yao! Yani mie wananiuudhi basi tu, MUNGU tuokoe na JINAMIZI hili.
Naona mmeamua kudanganyana mnajifariji na kujiliwaza..Polisi hawana muda huo kwani nani kampeleka Lema Mahabusu?
Yani tunampokea kama mshindi wa MEDALI wa FEDHA na SHABA na kama ni mbaya na acha iwe labda tufungiwe kesho wapiga kura kesho tusitoke majumbani Wallaah!!lema kama mandela na kesho tutampokea kama mfalme wa amani
mzee wa ubwabwa leo umepata hata mda wakupitia magaze au kazi ilikuwa ni moja pilipili za kutosha kwenye kanzu na kuzungukia ndugu na jamaa
Lema ni hatari kama RTLM ya jirani z2,dont expect more from this guy!mchonganishi wa amani,be creative 2pe cha kufanya cku2shawish kufanya ya kipimbi,cdm ni tegemeo l2 c hilo wazo lako mkb
Mkuuu ongera kwa kuliona hilo.
Sijuuu sasa polisi watamtisha nanini kama mahabusu kakaa,selo za polisi kakaa siwelewi polisi watakuja na njiaa gani sasa.?
mkuu unataka mpaka uwekewe picha za kivuyo,siro na leonard walivyenda kisongo??Naona mmeamua kudanganyana mnajifariji na kujiliwaza..Polisi hawana muda huo kwani nani kampeleka Lema Mahabusu?
.......ni R1 wa kule kwa mashogaBy the way huyu Prince nani siju ni nani? Nachoshukuru wanatambua kuwa kuwepo kwa Lema ndani ni hatari kwao...huyu kamanda ni hatari kwa ujinga wa CCM anawachachafya sana...
Je hii ni halali kwa makamishna wawili kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, pamoja na Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha na Ofisa Upelelezi wa Mkoa wa Arusha, kumtembelea mahabusu kumsihi akubali kutoka ili kuleta utulivu jijini hapa.
Wakati ni wale wale waliombambikizia kesi wakitegemea kumumaliza kisiasa,je hawakulijua hili kuwa utulivu utatoweka endapo wapiga kura wake wakiamua kujibu kwa vitendo?
Au ujio wa mtoto wa mfalme wa Uingereza, Prince Charles, ambaye atawasili jijini hapo tarehe 9, ndo chanzo cha hawa Makamishina kumuona Lema gerezani?
Nashindwa kukupata vizuri na sielewi hasa unachokusudia kukieleza hapa. Ila kama ni masaburi yanakuwasha, kawahi kwa Nape akaku-Cameron.
Fafanua hapo kwenye redi!.......ni R1 wa kule kwa mashoga
Makamishina Waliomtembelea Lema ni Peter Kivuyo, Simon Siro na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Leonard Paul.Naona mmeamua kudanganyana mnajifariji na kujiliwaza..Polisi hawana muda huo kwani nani kampeleka Lema Mahabusu?
Je hii ni halali kwa makamishna wawili kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, pamoja na Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha na Ofisa Upelelezi wa Mkoa wa Arusha, kumtembelea mahabusu kumsihi akubali kutoka ili kuleta utulivu jijini hapa.
Wakati ni wale wale waliombambikizia kesi wakitegemea kumumaliza kisiasa,je hawakulijua hili kuwa utulivu utatoweka endapo wapiga kura wake wakiamua kujibu kwa vitendo?
Au ujio wa mtoto wa mfalme wa Uingereza, Prince Charles, ambaye atawasili jijini hapo tarehe 9, ndo chanzo cha hawa Makamishina kumuona Lema gerezani?
Siku zote wanasema kuna haki za binadamu na utawala wa sheria chini ya JK .Mimi nadhani Chadema waendelee na siasa tu hata huyu Price Charles ajionee mwenyewe badala ya kuficha ficha uozo.Acha watu waingie mitaani kumwambie Prince kwamba kuna uharamia wa kisiasa Tanzania .
watu wengi wanachukulia uamuzi wa Lema kwenda jela kwa hiari ni uamuzi wa kipuuzi lakini kwa mtu anaefuatilia na anaefahamu mchezo wa uchangaji kete za kisiasa jamaa sio mjinga, ana sababu ambayo huenda hawa jamaa nao wameshagundua.
By the way, Lema has made that move at such a perfect timing......Very Strategic.......Jamaa kwa kweli ana akili na ni muhimu hili watu wa Polisi na Usalama waliangalie bila kupuuzia......Arusha sio pa mchezo na Lema anajua hilo
nadhani wanaweza hata kumvuzia na kumpiga risasi waseme kuwa walidhani ni jambazi sugu kama walivyomfanya yule jamaa aliyekuwa usalama wa taifa