Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sana, inaelekea sasa ujenzi wa makao makuu ya EAC utaanza wakati wowote kuanzia sasa.
Ile parking ya magari ambayo wafanyakazi walioko kwenye jengo la AICC imezuiliwa kutumika kuanzia Leo ikiwa ni kupisha maandalizi ya ujenzi huo.
Lets hope kwamba safari hii watakuwa serious.
Ile parking ya magari ambayo wafanyakazi walioko kwenye jengo la AICC imezuiliwa kutumika kuanzia Leo ikiwa ni kupisha maandalizi ya ujenzi huo.
Lets hope kwamba safari hii watakuwa serious.