Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
How long shall they kill our prophetsWhile we stand aside and look? OohSome say it's just a part of itWe've got to fullfil the book
The song of freedom!
How long shall they kill our prophetsWhile we stand aside and look? OohSome say it's just a part of itWe've got to fullfil the book
Nadhani issue siyo muungano. Makanisa yana uhusiano gani na muungano?
nimeipenda hii!!Kwa hali hii ya udini inayoendelea zanzibar basi tumeshapata maana halisi ya dini ya kiislamu kiundani.
Tanx sana waislamu kwa kututendea haya mnayotutendea wakristo ila jueni kwamba.
"HAKUNA ALOWAHI KUTENDA UBAYA JUU ISRAEL NA AKAISHI"
Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.
Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.
Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/
Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini
Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.
Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.
Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
Wadau habarini,
Kuna taarifa ya kwamba kuna Kanisa limechomwa moto huko Zanzibar, leo hii muda si mrefu.
Nitawajuza kwa kina nikiwa fed kutooka visiwani, ila kwa sasa kama kuna anayejua atueleze hapa.
Sasa wewe ndio unasema kuna kanisa lingine limechomwa mota halafu unaomba tena habari kwetu, kwa nini usisubiri kwanza ukamalishe uchunguzi wako ndio uanzishe thread.
Sasa wewe ndio unasema kuna kanisa lingine limechomwa mota halafu unaomba tena habari kwetu, kwa nini usisubiri kwanza ukamalishe uchunguzi wako ndio uanzishe thread.
ziko macho ! Wako bize kuyachoma, kisha watafute wa kumpa kesi !Inteligensia zimelala?