makanisa mawili mapya yalyochomwa ni kanisa la mt mikaeli na kanisa la mkunazini yote ni dhehebu la katoliki.
Vurugu za zanzibar sasa zinabainisha sio za kisiasa wala kupinga muungano bali ni mkakati dhahiri wa mashambulizi ulioandaliwa kwa mpango maalum wa kificho dhidi ya Ukristo,wakristo,mali zao na nyumba zao za ibada hakuna sababu yoyote ya msingi inayoweza kutengua ukweli huu maana hatuoni uhusiano wowote wa kanisa na muungano au siasa za zanzibar! Islam is a very hostile religion and i wonder if it deserves any credibility!
Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.
Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.
Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/
Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini
Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.
Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.
Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
Acheni propaganda
.........mimi mtazamo wangu kuhusu hili ni tofauti kidogo, japo approach ya hizi njemba zinazojiita "wanauamsho" kutoa maoni yao kuhusu Muungano ni zaidi ya uhuni... naenda mbali kusema hata sisi viongozi tumechangia hali hii kwa njia moja au ingine hasa pale tunapoonyesha woga wetu wa kutotaka kusikia/kutaka Muungano usijadiliwe, najiuliza kama kweli tunashauriwa hivi au tunakurupuka kivyetu?Makanisa zaidi na mali za wakristo zazidi kuteketezwa leo yamechomwa matatu.
Source chanel10 habari
Huku ni kushindwa kwa selikali ya muungano kwani swala la ulinzi na usalama ni la muungano.
Sasa makanisa Zanzibar yalindwe kama ikulu
huu ni mwanzo wa harakati za waislamu tanzania unaokusudia kutuletea selikali za kidini na wanaamini viongozi wakuu Raisi muungano, Makamu raisi visiwani makamu wote mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani
tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi
Tunawaona na tunawaelewa kuwa nyie ni magaidi na mwisho wa Gaidi ni shimoni.Kwa taarifa yenu sio sababu ya ustaadhi wa uamsho kukamatwa.Je alivyokamatwa ndio maana mkachoma makanisa, magari na kupora bia na kuzinywa na kuuza mitaani na kuiba aircondition,vitanda na magodoro je hayo nayo ni kumpigania ustaadhi aliyekamatwa ili aachiwe.Kwa taarifa yenu nyie ni wenzetu kutoka kisiwa cha pili na mnajulikana.Watanganyika tutaondoka Zenj,nanyi mtaondoka Zenj.Dhambi ya Ubaguzi itawatafuna milele.
Je Watanzania tunanufaika vipi na Muungano,Je tukiuvunja tutapata hasara gani???????;
Maswali ni magumu sana naomba wanazuoni watusaidie majibu.
Kwa suala la ma baa na casino mbona wateja wazuri sana wa kutafuna kiraji na totoz ni haohao wa huko,Na wanachoma baa huku wakinywa hizo bia hayo ni maajabu.
Tembelea zanzibar usiku kila vespa imebeba mzigo je wote ni wa bara????
Mnachofanya ni sawa na kula nyama ya mtu.............................
Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.
Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.
Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.
Acha udini rais sio JOHN mlivyozea ya Mwembechai na ya Pemba mauji ya waislam. rais hapokei WITO WA MAASKOFU.Makanisa zaidi na mali za wakristo zazidi kuteketezwa leo yamechomwa matatu.
Source chanel10 habari
Huku ni kushindwa kwa selikali ya muungano kwani swala la ulinzi na usalama ni la muungano.
Sasa makanisa Zanzibar yalindwe kama ikulu
huu ni mwanzo wa harakati za waislamu tanzania unaokusudia kutuletea selikali za kidini na wanaamini viongozi wakuu Raisi muungano, Makamu raisi visiwani makamu wote mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani
tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi
Why the coincidence? why should it happen during uamsho demonstration and gathering?Bullshit all of it. Makanisa yanachomwa na infiltrators wanaodaiwa kuwa ni wa CCM ili kudivert attention ya watu ili jambo hili liwe la kidini na ishu ya msingi ya zanzibar Huru isijadiliwe
mbona kwa tabia nyingi za kifedhuli mnasifika znz ikiwemo ushoga umetawala huko visiwani kuliko bara, mtasema na hilo watu wa bara wamewaletea??!!
Kenya | 1 church | ||
Trinity Church Of Christ | Nairobi City | United Church of Christ | |
Nigeria | 1 church | ||
MCC Okigwe | Okigwe | MCC | |
South Africa | 16 churches | ||
MCC Good Hope | Cape Town | MCC | |
The Full Family Church | Bloemfontein | Non-denominational | |
Agapé Revelation Church | Boksburg | Non-denominational | |
Beth-Haran | Boksburg | Non-denominational | |
GCC | Doorenfontein | Non-denominational | |
Word of Life MCC | Durban | MCC | |
Deo Gloria Family Church KZN | Durban | Non-denominational | |
Real Life Church | Jeffreys Bay | Non-denominational | |
Hope and Unity MCC | Johannesburg | MCC | |
Reformerende Kerk Jhb | Johannesburg | Non-denominational | |
Die Kapel | Melville | Non-denominational | |
Beth-Haran Ministries | Potchefstroom | Non-denominational | |
Eastside Community Church | Pretoria | Interdenominational | |
Glorious Light MCC | Pretoria | MCC | |
Agallia Ministries | Pretoria | Non-denominational, Pentecostal | |
Reforming Church | Pretoria | Non-denominational | |
Tanzania | 1 church | ||
Pentecostal Evangelistic Church | Mbeya | Non-denominational | |
Uganda | 1 church | ||
Integrity Uganda | unknown (see web site) | Anglican | |
Kason Church | Kabale | Non-denominational |
Why the coincidence? why should it happen during uamsho demonstration and gathering?
It's too late for spin doctoring what had happened.
ndiyo mwamsho wenyewe huo......ganja bana!
Bullshit all of it. Makanisa yanachomwa na infiltrators wanaodaiwa kuwa ni wa CCM ili kudivert attention ya watu ili jambo hili liwe la kidini na ishu ya msingi ya zanzibar Huru isijadiliwe