kwa miaka ya hivi karibuni kumeibuka makanisa kibao ambayo theme yao kubwa ni uponyaji wa magonjwa mbalimbali waliyonayo bin adamu. sasa mimi swali langu ni kwamba hivi haya makanisa yamekuwa hospitali za rufaa? baadala ya kuwahubiria watu juu ya Uwepo wa mungu, maswala ya maisha baada ya hapa duniani, kuhubiri upendo na amani, wanatangaza juu ya uponyaji wa magonjwa mbalimbali. sasa naona wameibuka kwa staili nyingine ya kikombe. Isije kuwa mpinga kristo a.k.a masihi dajaar kaishatia timu Tz.