Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Habarini Wana Jf
Hili imebidi nililete hapa kulichangia kuona kama kuna ukweli wowote! Leo nikiwa lunch sehemu flani nzuri sana nilikuwa nimeketi karibu na group (nafikiri ni watu wanafanya kazi sehemu moja) la watu ambapo kulikuwa na mjadala kuhusu, Ongezeko la makanisa ambayo uhubiri mahusiano ya ndoa na utoaji wa sadaka kwa wingi siku za ibada! Wakati nashushia soda yangu nilishtushwa kwa kile mmoja wapo alichosema kuwa ongezeko hilo si Mpango wa Mungu ndiyo maana pamoja na mafunzo mengi ya ndoa lakini ndoa nyingi huvunjika na yamekuwa yakihamasisha hasa utoaji wa sadaka ili kulimbikiza mihela ambayo huchukuliwa kutoka kwa waumini! Haikuishia hapo mjadala uliendelea na kufikia kusema Mikoa inayoongoza kwa Uchipuaji wa makanisa, hasa ya aina hii ni Arusha na Mbeya
SWALI:
Je kuna ukweli wowote? Maoni kutoka katika mikoa tajwa hapo juu!!!
Je kuna athari zozote ambazo zinatokana na mafundisho hasa ya ndoa ambayo yanapelekea ndoa nyingi kupukutika?
Naomba mawazo yenu! maana huu mjadala wa hawa jamaaa ulinivutia na kutaka kujua zaidi
Thanx
Kimbweka!!!!!
Hili imebidi nililete hapa kulichangia kuona kama kuna ukweli wowote! Leo nikiwa lunch sehemu flani nzuri sana nilikuwa nimeketi karibu na group (nafikiri ni watu wanafanya kazi sehemu moja) la watu ambapo kulikuwa na mjadala kuhusu, Ongezeko la makanisa ambayo uhubiri mahusiano ya ndoa na utoaji wa sadaka kwa wingi siku za ibada! Wakati nashushia soda yangu nilishtushwa kwa kile mmoja wapo alichosema kuwa ongezeko hilo si Mpango wa Mungu ndiyo maana pamoja na mafunzo mengi ya ndoa lakini ndoa nyingi huvunjika na yamekuwa yakihamasisha hasa utoaji wa sadaka ili kulimbikiza mihela ambayo huchukuliwa kutoka kwa waumini! Haikuishia hapo mjadala uliendelea na kufikia kusema Mikoa inayoongoza kwa Uchipuaji wa makanisa, hasa ya aina hii ni Arusha na Mbeya
SWALI:
Je kuna ukweli wowote? Maoni kutoka katika mikoa tajwa hapo juu!!!
Je kuna athari zozote ambazo zinatokana na mafundisho hasa ya ndoa ambayo yanapelekea ndoa nyingi kupukutika?
Naomba mawazo yenu! maana huu mjadala wa hawa jamaaa ulinivutia na kutaka kujua zaidi
Thanx
Kimbweka!!!!!